Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,904
Ukitumia muda wako kufukuza vipepeo, wataruka na kuondoka. Lakini ikiwa unatumia muda wako kutengeneza bustani nzuri na ya kuvutia, vipepeo vitakuja na kujaa kwako
Unapozingatia kujiboresha na kutafuta ukamilifu, kila kitu kizuri unachotaka kitakuja kwako. Tunavutia kulingana na sisi ni nani, sio tunachotaka.
Usifuate, vutia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapozingatia kujiboresha na kutafuta ukamilifu, kila kitu kizuri unachotaka kitakuja kwako. Tunavutia kulingana na sisi ni nani, sio tunachotaka.
Usifuate, vutia.
Sent using Jamii Forums mobile app