Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 51,128
- 22,346
Vumilia vumilia wewe wakati wa kuvalishwa shela aujafika usife moyo
ndugu yengu leo naleta neno la unabii mungu anasikia sauti yako
na wala ajakuacha yeye alishinda sembuse hilo mungu anasema usife
moyo bwana yu nae usitende dhambi kwa kukosa mume sahihi la hasha
ajakuacha ana haja nawe muda ukifika watakuletea zawadi ya harusi
waliongea uolewi muda ukifika waliosema uolewi watapigwa jua
kariakoo kukukunulia nepi na papmpas watakuletea zawadi
kuwa mvumiliviu usikate tamaa dada nakutakia mume mwema mwenye kuona na
kusoma nykati mungu akisema ndio akuna mwenye kusema hapana neno lake
ni la kweli soma yoh 17:17 jua atakuacha na ajakuacha ana sababu zake
mungu akubariki
ndugu yengu leo naleta neno la unabii mungu anasikia sauti yako
na wala ajakuacha yeye alishinda sembuse hilo mungu anasema usife
moyo bwana yu nae usitende dhambi kwa kukosa mume sahihi la hasha
ajakuacha ana haja nawe muda ukifika watakuletea zawadi ya harusi
waliongea uolewi muda ukifika waliosema uolewi watapigwa jua
kariakoo kukukunulia nepi na papmpas watakuletea zawadi
kuwa mvumiliviu usikate tamaa dada nakutakia mume mwema mwenye kuona na
kusoma nykati mungu akisema ndio akuna mwenye kusema hapana neno lake
ni la kweli soma yoh 17:17 jua atakuacha na ajakuacha ana sababu zake
mungu akubariki