Usiendekeze mwanaume

Usiendekeze mwanaume

Okrap

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2022
Posts
1,112
Reaction score
2,315
Ni wakati wa kubadilika sasa kutoka kwa hasi hadi kuwa chanya. Jitahidi uwe mwema kwa wengine. Jipende kwa ukubwa wowote.

Ikiwa una uwezo wa kupenda, jipende mwenyewe kwanza.

Usimuendekeze mwanaume, mwanaume hakupendi ukiwa mchafu, anakupenda ukiwa uko smart.

Cha ajabu wanapenda wanawake wazuri na smart lakini kuhudumia hawawezi kabisa!

Wanaume wasikuizi ni wa ovyo sana!
 
 
Ni wakati wa kubadilika sasa kutoka kwa hasi hadi kuwa chanya.

Jitahidi uwe mwema kwa wengine. Jipende kwa ukubwa wowote.

Ikiwa una uwezo wa kupenda, jipende mwenyewe kwanza.


Usimuendekeze mwanaume mwanaume hakupendi ukiwa mchafu anakupenda ukiwa uko smart

Chaajabu wanapenda wanawake wazuri na smart lakini kuhudumia hawawezi kabisa

Wanaume wasikuizi ni waovyo sana
Kwahiyo ameacha kukuhudumia Sasahivi pole Sana nipe namba PM.
 
Endeleeni kusubiri kuhudumiwa, endeleeni kutanguliza pesa mbele MTATUMIWA SANA na wahuni.
Ila wahun ata asipokupa hela unakuwa ume injoy vilivyo
 
Kwenye jamii yetu ya Sasa kuna pahala wanaume tumejikwaa......

Uanamume unapitia nyakati ngumu kwa kuwa sisi wanaume wenyewe tupo mbali na uanamume wenyewe......Sasa hivi wanawake hawajivunii kuwa na waume kwa kuwa tofauti pekee wanayoiona baina Yao ni maumbile tu ya sehemu nyeti..........

Tunaupeleka wapi uanamume hali ya kuwa vijana wa kiume wanawaza kutunzwa na wanawake badala ya wao kuwatunza wanawake.......??

Tunaupeleka wapi uanamume hali ya kuwa huko majumbani wanaume tunashindwa kuzisimamia na kuziongoza familia zetu.....??

Ndio maana wanawake wanadai usawa kwa hawaioni nafasi ya mwanaume kwenye maisha yake zaidi ya haja za kimwili ambazo Siku wanajifanyia wenyewe.........??

Wanaume wenzangu kuna sehemu tumeteleza turudi nyuma na kutafakari
 
Kwenye jamii yetu ya Sasa kuna pahala wanaume tumejikwaa......

Uanamume unapitia nyakati ngumu kwa kuwa sisi wanaume wenyewe tupo mbali na uanamume wenyewe......Sasa hivi wanawake hawajivunii kuwa na waume kwa kuwa tofauti pekee wanayoiona baina Yao ni maumbile tu ya sehemu nyeti..........

Tunaupeleka wapi uanamume hali ya kuwa vijana wa kiume wanawaza kutunzwa na wanawake badala ya wao kuwatunza wanawake.......??

Tunaupeleka wapi uanamume hali ya kuwa huko majumbani wanaume tunashindwa kuzisimamia na kuziongoza familia zetu.....??

Ndio maana wanawake wanadai usawa kwa hawaioni nafasi ya mwanaume kwenye maisha yake zaidi ya haja za kimwili ambazo Siku wanajifanyia wenyewe.........??

Wanaume wenzangu kuna sehemu tumeteleza turudi nyuma na kutafakari
Umeongea vzr sana naomba nikupe zawadi

Nimekupenda kwa kulitambua hili
 
Back
Top Bottom