Usichokijua kuhusu Mexico

MSEZA MKULU

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2011
Posts
3,819
Reaction score
5,819
1. Ni nchi ya 11 kwa kuwa na watu wengi duniani

2. Piramidi kubwa kuliko yote duniani iko Mexico na sio Misri

3. Bisi/ Popcorn zilianza kuliwa Mexico na dunaini miaka zaidi ya 4000 iliyopita.

4. Mexico City ndio mji wenye TAXI nyingi kuliko yote duniani, zaidi ya 100, 000 taxies.

5. Kuna duka moja tu la kuuza bunduki Mexico, nyingine zote zinaibwa kutoka Marekani.

6. Canada, India, Israel, Russia na Mexico ndio nchi pekee ambazo pesa/ noti zao zinaalama za vipofu kuzitambua.

7. Kuna mji Mexico ambao watu hupigana ngumi saana, lengo ni kumuomba Mungu alete msimu mzuri wa mvua.

8. Vinywaji vyenye sukari nyingi vinasababisha vifo vya watu wengi Mexico kuliko wanaouliwa na magenge ya uhalifu na madawa ya kulevya.

09. Katika tetemeko la ardhi 1985 lililoangusha hosipitali kuu ya Mexico, watoto wachanga karibu wote walikutwa wako hai japo walitolewa baada ya siku sita bila kuwa wamekula.

10. Nchini Mexico maji ya kunywa huwekewa ladha, limao, chokolate, chungwa, zabibu etc.
 
mkuu hapo no.9 ilikuwaje kwa muda wa cku 6 watoto wakutwe hai..maelezo tafadhali
 
11.unapigwa shaba hapo pembeni wanaendelea na shughuli zao kama kawa. Hiyo ndio mexico
 
Nchi pekee ya wasiopenda wageni, wageni kule huitwa ""El Gringo ""
ila kwa mmexico asieishi katika jiji la mexico city anadharauliwa, yaani mgeni "GRINGO" anaafadhali.
 
Unanikumbusha The Bridge, sonya ndani ya El paso PDE. Nawakubali sana wanawake wa kimexico, wanatoa nyapu hawana kinyongo, lakn ni watumiaji wakubwa wa madawa ya kulevya
 
hiyo namba 9 inanikumbusha wakati huo walikuwa kwenye maandalizi ya kuandaa kombe la dunia wakajenga ukuta kuficha sehemu wanazoishi watu masikini lakini tetemeko lilipokuja likawaumbua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…