1. Ni nchi ya 11 kwa kuwa na watu wengi duniani
2. Piramidi kubwa kuliko yote duniani iko Mexico na sio Misri
3. Bisi/Popcon ilianza kuliwa mexico na dunaini miaka zaidi ya 4000 iliyopita.
4. Mexico city ndio mji wenye TAXI nyingi kuliko yote duniani zaidi ya 100, 000 taxies.
5. Kuna duka moja tu la kuuza bunduki Mexico, nyingine zote zinaibwa kutoka marekani.
6. Ni Canada, India, israel, Russia na Mexico nchi pekee ambazo pesa/ noti zao zinaalama za vipofu kuzitambua.
7. Kuna mji Mexico ambao watu hupigana ngumi saana lengo ni kumuomba Mungu alete msimu mzuri wa mvua.
8. Vinywaji vyenye sukari nyingi vinasababisha vifo vya watu wengi mexico kuliko wanaouliwa na magenge ya uharifu na madawa ya kulevya.
09. Tetemeko la ardhi 1985 lililoangusha hosipitali kuu ya mexco, watoto karibu wote walikutwa wako hai japo walitolewa baada ya siku sita bili kuwa wamekula.
10. Mexico maji ya kunywa huwekewa ladha, limao, chokorate, chungwa, zabibu etc.