Lazaroj
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,452
- 1,043
Duhhhh hayaLa kwangu binafsi
Duhhhh hayaLa kwangu binafsi
Sio vibaya ila kuna mambo inafikia umri fulani unatakiwa uyaone ya kawaida sana. Kaamua kuondoka acha aondoke fanya vitu vingineMkuu kwani vibaya..?
Daah ila huyu nilimzoea sanaa, daah mtoto wa watu alikuwa mpole na mtaratibu sanaa..
Yaani ni ile aina ya wanawake watulivu sanaa na kichwani zimo.
Sijui kama nitakuja kumpata kama yeye
Unakuwa na mtu unamuheshimu hata utongozwe vipi unamfikiria yeye haukubali, ukimpigia simu sasa kupokea kwa shida mara asipokee anakuta miss cal zako hapigi sms hajibu watsap anasoma baada ya wiki na hajibu unajiuliza huyu mtu ananiona boya? Ukimwambia mbona upo hivyo mawasiliano hamna majibu sasa unanifikiria vibaya na ugomvi inafika mahali hautaki hata kumuonaDada Khantwe naomba nisaidie yani moyo unaniuma hatari nikimkumbuka
Hivi leo asubuhi nimemkumbuka nimempigia simu imeita weeee bila kupokelewa.. nikaamua kumtumia text.."I hope you're fine, nilitaka kukusalimia tu" nayo pia kimyaaa hahaha daaah wakati zamani nikimpigia tu anapokea au akikutaga text alikuwa ni lazima anitafute
Daah...nimeanza kuwaheshimu from now
Kwakweli. Duh.Unakuwa na mtu unamuheshimu hata utongozwe vipi unamfikiria yeye haukubali, ukimpigia simu sasa kupokea kwa shida mara asipokee anakuta miss cal zako hapigi sms hajibu watsap anasoma baada ya wiki na hajibu unajiuliza huyu mtu ananiona boya? Ukimwambia mbona upo hivyo mawasiliano hamna majibu sasa unanifikiria vibaya na ugomvi inafika mahali hautaki hata kumuona
Sasa pesa za nini kama huzifaidi kwa warembo? Labda kama ni mnunuzi.Tafuta hela, wanawake ni zaidi ya uwajuavyo
Ni kweli ulisemalo mpendwa.Aisee pole sana, kikubwa kwenye mahusiano ni communication , wanaume wengi mnafeli apo, yaani unampigia mtu hajibu huwa inafika point tunachoka sisi pia tuna thamani,
Hajui alisemalo huyo mkuu.Sasa pesa za nini kama huzifaidi kwa warembo? Labda kama ni mnunuzi.
Move on. Time is the best healerNi kweli ulisemalo mpendwa.
Nilimpuuzia sana sikujua kama alichukua nafasi kubwa sana kwenye moyo wangu
Yah sio rahisi kusahau upesi kama ulimpenda, Haukuwa na mchepuko au ?Nimejitahidi kukaa wiki mbili nzima bila kumfikiria ila inaniwia vigumu... najitahidi.
Aisee there's no way atarudi kwako .Cha msingi make yourself busy, spend time na family na friend let it goHapana
Ungekuwa busy na yeye huku hauna muda wa kutafuta pesa na maisha yako yangekuwa duni angekuona haufai vilevile.Daah.....
Tena akanitamkia kabisa nimeshampata mwengine ww naona uko bize tu na kutafuta pesaa hahaha nilifkiri masihara ujue
Bado haujakuwa wewe!kuna wanawake wanaigiza kwenye mapenzi zaidi ya tamthilia za kihindiHabari wakuu
Twende kwenye mada.
Kama ww ni me uko na mpenzi wako na anaonyesha mapenzi yote kwako, anakujali, anakupenda yaani ile kwelikweli..., nakusisitiza rudisha upendo kwake na muoneshe kumjali kama anavyokujali.
Mwanamke anaweza akawa anakutumia text hauzijibu, anakupigia unapuuzia kupokea na pengine huoneshi upendo kwake, unajali kazi tu na kutafuta pesa, my dear huyo mwanamke siku akija kubadilika akaamua kutazama pembeni ndugu yangu huwa ni ngumu sana kumfanya arejee... it is very hard thing.
Mwanamke akiamua kupenda anawekeza kila kitu, hisia, maisha yake na cha muhimu kingine anachowekeza ni muda wake pia..., ni vizuri kama una malengo nae ukamuonesha upendo pia.
Daah inauma..
Yaani nilikuwa najifanya niko bize na kazi, simu zako sipokei si asubuhi, sio mchana usiku ndo kabisaa nakuwa nimechoka balaa nikifika home naishia kulala hoiiiii... ila sijilaumu ni nature ya kazi yangu. asubuhi nakuta ulinitafuta jana yake daah naishia kukupigia tunaongea dk 2 then napotea daaaah siamini kumbe ndo nilikuwa nakupoteza.
Nilijiamini kwamba hutoweza kuniacha kwa jinsi nilivyokuwa nakujali, niliamini vile vizawadi nilivyokuwa nakuletea siku mojamoja visingekufanya ubadili mawazo...
Ilianza kama utani inapita siku mbili mara tatu mara wiki bila kunitafuta mmh nafsi ikaguna maana nilizoea kuona missed calls zako. Yaani siamini leo hii mm ndo nakutafuta hata simu yangu hupokei daah hata text hujibu duuh.
Sasa ndo nimeelewa communication ni kiungo muhimu sana kwenye relationship.
Leo yapata miezi miwili ndo nimeamini rasmi umeniacha duh.
Wakuu mapenzi sio pesa namaanisha mapenzi ya kweli sio pesa, ukiwa na mwanamke anaekupenda kweli pesa inakuwa haina thamani yoyote.
Kumbe wewe ndo ulianza kuaribu kazi Aiseee noma sana sema ukichokwa sababu ya kusamehewa inakuwa ndo sababu kubwa ya Kuachwa..Wanawake wote mwalimu wao ni mmoja, anyway mi yashanikuta na imepita miezi ananitangazia anaolewa mi nambembeleza ila kweli nishampotezea huyu mwanamke nilimcheat ila niliogopa kumwambia ukweli akaja kujua after 4year kutoka kwa m2 ile deep love yote kaivunja kama kioo dadeki
Sina mpango wa kujinyonga hiyo ni defensive mechanism nyie endeleeni na mmja mm hata mke cwez oa mmjaHuo sio ujanja mkuu.
Kuna raha zaidi ya raha unapokuwa na mwanamke mmoja ambae unajua anakupenda kwa dhati.