fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 5,680
- 7,331
Yana kina kirefu
Hizo kauli tu.Yana kina kirefu
Jaza maji kwenye ndoo, yakijaaa na yakawa yametulia, usithubutu kujaribu kuweka hata kidole, kitazama.Hayo maji yapo wapi nasisi tukaingie tupime kina
johnthebaptist in the houseUzi tayari
Tucheze na maji yanayofanya vulugu?mamba anakaa kwenye maji yaliyotulia!Yana kina kirefu
Hawataki, wanataka tushindane kuninginiza vyeti ukutani na sisi wazazi wao huku tukisubiria misosi iive!Maneno tu hayo, hata kwenye kanga yapo. Mkihitimu vyuo vikuu nendeni veta
Waende wakagonge nyundo huko veta, waache kupenda kazi laini.Hawataki, wanataka tushindane kuninginiza vyeti ukutani na sisi wazazi wao huku tukisubiria misosi iive!
Tena wakiwa VETA, wengine wanaweza Kuwa Walimu wazuri na nchi ikasonga!Waende wakagonge nyundo huko veta, waache kupenda kazi laini.