mbona nasumbuka sana katika ku post?petrol looting has consquences
Mod toa hii picha tafadhali!
Ilitokea Congo ya kinshasa .Eeeh God forbid...imetokea wapi tena hi?i
View attachment 34526
Ndugu watanzania::Tunashauriwa kutosogelea maroli ya mafuta pindi yapatapo ajali! Hii ni moja kati ya madhara yatokanayo na matukio kama hayo