Usicheke hayajakukuta 😂😂😂

AHSANTENI sana , Kwa kushirikiana na Polisi siku ya leo majira ya Saa 10;00 tulipata taarifa vipo Dampo la Tabata .🙏🙏 NISHAVICHUKUA .

WAKUU MUWE NA HESHIMA NA VITU VYA WATU HAMJUI NILIPO VITOA .😥
Wameona havina hadhi ndio manaa wameenda kuvipeleka dampo, ptuuuuuu🤮🤮🤮🤢🤢🤢
Sagula sagula zako zenue chawa na kunguni
 
😂😂 wakati naanza maisha, nilihamia kwenye nyumba nikiwa na ndoo na begi tu, mwenye nyumba akasema vipi ndio unakuja kufanya usafi,? Nikasema hapana ndio nimeamia.
Baadae nasikia anaongea na jirani wananisemq😂
Vipi mkuu KUKU MAJI hujamaliza tu chuo?😎
 
Wameona havina hadhi ndio manaa wameenda kuvipeleka dampo, ptuuuuuu🤮🤮🤮🤢🤢🤢
Sagula sagula zako zenue chawa na kunguni
Ni vyangu sasa , mbona wewe unafoka sana ?!😂🤣
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…