Usicheke hayajakukuta ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

AHSANTENI sana , Kwa kushirikiana na Polisi siku ya leo majira ya Saa 10;00 tulipata taarifa vipo Dampo la Tabata .๐Ÿ™๐Ÿ™ NISHAVICHUKUA .

WAKUU MUWE NA HESHIMA NA VITU VYA WATU HAMJUI NILIPO VITOA .๐Ÿ˜ฅ
Wameona havina hadhi ndio manaa wameenda kuvipeleka dampo, ptuuuuuu๐Ÿคฎ๐Ÿคฎ๐Ÿคฎ๐Ÿคข๐Ÿคข๐Ÿคข
Sagula sagula zako zenue chawa na kunguni
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ wakati naanza maisha, nilihamia kwenye nyumba nikiwa na ndoo na begi tu, mwenye nyumba akasema vipi ndio unakuja kufanya usafi,? Nikasema hapana ndio nimeamia.
Baadae nasikia anaongea na jirani wananisemq๐Ÿ˜‚
Vipi mkuu KUKU MAJI hujamaliza tu chuo?๐Ÿ˜Ž
 
Wameona havina hadhi ndio manaa wameenda kuvipeleka dampo, ptuuuuuu๐Ÿคฎ๐Ÿคฎ๐Ÿคฎ๐Ÿคข๐Ÿคข๐Ÿคข
Sagula sagula zako zenue chawa na kunguni
Ni vyangu sasa , mbona wewe unafoka sana ?!๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ