Familia yagoma kuzika baada ya ndugu yao kufia hospitali akitaka kujifungua

kevin strootman

JF-Expert Member
Nov 26, 2017
1,077
1,728
Ni takribani siku 4 tangu kupoteza maisha kwa binti aliyefahamika kwa jina la Rachel William aliyefariki dunia kwa kukosa huduma baada ya kufika katika hospitali ya wilaya ya Kahama kwaajili ya kujifungua na kushindwa kupatiwa huduma hiyo bila kutoa kiasi cha fedha alichoambiwa na daktari.

Tukio hilo limetokea Disemba 28, 2023 katika hospitali ya wilaya ya Kahama ambapo marehemu alifika hospitalini hapo kwaajili ya kujifungua ndipo aliambiwa atoe fedha ili apatiwe huduma.

Akizungumza kwa niaba ya familia hiyo kiongozi wa familia Mwanambalu Shinje anaeleza kuwa kutokana na kumpoteza binti na kichanga kwa uzembe uliofanywa na watoa huduma kama familia waliamua kutofanya mazishi ya marehemu hao.

Akitoa salamu za pole Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Shinyanga Mabala Mlolwa amesikitishwa kutokea kwa tukio hilo huku mbunge wa jimbo la Ushetu Emmanuel Cherehani ameishauri serikali kuwachukulia hatua watumishi waliojihusisha na tukio hilo.

Akizungumza kwa njia ya simu Kaimu mkurugenzi manispaa ya Kahama Clemency Mkusu Anaeleza hatua zilizochukuliwa baada ya kubaini tukio hilo ikiwemo kufikishwa kwenye vyombo vya sheria kwa waliobainika kujihusisha na kitendo hicho.


NB: Kwenye hii Dunia hasa ukiwa unaishi Tanzania Fanya juu chini usikose pesa, pesa ndio itakufanya uishi, Fanya unavyoweza iba, tumia ndagu Yani we Fanya unavyojua ila usikose hela.

View attachment 2859671
 
Ni takribani siku 4 tangu kupoteza maisha kwa binti aliyefahamika kwa jina la Rachel William aliyefariki dunia kwa kukosa huduma baada ya kufika katika hospitali ya wilaya ya Kahama kwaajili ya kujifungua na kushindwa kupatiwa huduma hiyo bila kutoa kiasi cha fedha alichoambiwa na daktari.

Tukio hilo limetokea Disemba 28, 2023 katika hospitali ya wilaya ya Kahama ambapo marehemu alifika hospitalini hapo kwaajili ya kujifungua ndipo aliambiwa atoe fedha ili apatiwe huduma.

Akizungumza kwa niaba ya familia hiyo kiongozi wa familia Mwanambalu Shinje anaeleza kuwa kutokana na kumpoteza binti na kichanga kwa uzembe uliofanywa na watoa huduma kama familia waliamua kutofanya mazishi ya marehemu hao.

Akitoa salamu za pole Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Shinyanga Mabala Mlolwa amesikitishwa kutokea kwa tukio hilo huku mbunge wa jimbo la Ushetu Emmanuel Cherehani ameishauri serikali kuwachukulia hatua watumishi waliojihusisha na tukio hilo.

Akizungumza kwa njia ya simu Kaimu mkurugenzi manispaa ya Kahama Clemency Mkusu Anaeleza hatua zilizochukuliwa baada ya kubaini tukio hilo ikiwemo kufikishwa kwenye vyombo vya sheria kwa waliobainika kujihusisha na kitendo hicho.


NB: Kwenye hii Dunia hasa ukiwa unaishi Tanzania Fanya juu chini usikose pesa, pesa ndio itakufanya uishi, Fanya unavyoweza iba, tumia ndagu Yani we Fanya unavyojua ila usikose hela.

View attachment 2859671
Ukweli kuhusu malipo ya wajawazito yako Mlogazila, serikali haisemi ukweli.
 
Sekta ya Afya Tanzania ni last born wa serikali wanapendewa mnoo hata wafanye madudu hawafanywi chochote kile
Hakuna sehemu Ina experience mbaya kama hospital za Tanzania ukiwa na mimba utajua hujui,nimezaa hospital za Tanzania watoto wangu wote Tena za serikali jamani Kama huna Pesa utajua hujui
Amana hospital mmeshuhudia mtu anazaa chooni manesi waliogoma kwenda kumzalisha
Nimeshuhudia mtu anazaa mwenyewe chini pasi na msaada akazalishwa na wamama na manesi wapo tu wamekaaa
Tunalala watu watatu vitandani(sio story ni kweli)
Manesi wa kitanzania Wana roho mbaya Sijapata kushuhudia na wakisoma kadi lako wakaona pale kwenye ajira 'mkulima'ellimu'std 7'utajua hujui
Na ukienda kinyonge ndo utaisoma namba
Manesi Wana dharau ,wajeuri,hawajali hata kidogo yaani Sijapata ona serikali inawatetea sana Kwa kua Wao na familia zao wanazalia private au nje ya nchi na halima watakuja kukanusha hiyo habari
 
Ni takribani siku 4 tangu kupoteza maisha kwa binti aliyefahamika kwa jina la Rachel William aliyefariki dunia kwa kukosa huduma baada ya kufika katika hospitali ya wilaya ya Kahama kwaajili ya kujifungua na kushindwa kupatiwa huduma hiyo bila kutoa kiasi cha fedha alichoambiwa na daktari.

Tukio hilo limetokea Disemba 28, 2023 katika hospitali ya wilaya ya Kahama ambapo marehemu alifika hospitalini hapo kwaajili ya kujifungua ndipo aliambiwa atoe fedha ili apatiwe huduma.

Akizungumza kwa niaba ya familia hiyo kiongozi wa familia Mwanambalu Shinje anaeleza kuwa kutokana na kumpoteza binti na kichanga kwa uzembe uliofanywa na watoa huduma kama familia waliamua kutofanya mazishi ya marehemu hao.

Akitoa salamu za pole Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Shinyanga Mabala Mlolwa amesikitishwa kutokea kwa tukio hilo huku mbunge wa jimbo la Ushetu Emmanuel Cherehani ameishauri serikali kuwachukulia hatua watumishi waliojihusisha na tukio hilo.

Akizungumza kwa njia ya simu Kaimu mkurugenzi manispaa ya Kahama Clemency Mkusu Anaeleza hatua zilizochukuliwa baada ya kubaini tukio hilo ikiwemo kufikishwa kwenye vyombo vya sheria kwa waliobainika kujihusisha na kitendo hicho.


NB: Kwenye hii Dunia hasa ukiwa unaishi Tanzania Fanya juu chini usikose pesa, pesa ndio itakufanya uishi, Fanya unavyoweza iba, tumia ndagu Yani we Fanya unavyojua ila usikose hela.

View attachment 2859671


Aibu tu
 
Ummy yeye kazi yake ni kukanusha tu kila kisanga kinachohusu wizara hiyo!

Yupo kwenye dunia yake ya kufikirika ambayo wajawazito wanajifungua bila malipo,wazee miaka 60+ na watoto below 5yrs matibabu ni bure.

Nguvu kubwa ilitumika kufanya watu wa jamii hiyo waache kujifungulia nyumbani na kwa wakunga wa jadi ila kwa mwendo huu,tutarudi kulekule.
 
Ni takribani siku 4 tangu kupoteza maisha kwa binti aliyefahamika kwa jina la Rachel William aliyefariki dunia kwa kukosa huduma baada ya kufika katika hospitali ya wilaya ya Kahama kwaajili ya kujifungua na kushindwa kupatiwa huduma hiyo bila kutoa kiasi cha fedha alichoambiwa na daktari.

Tukio hilo limetokea Disemba 28, 2023 katika hospitali ya wilaya ya Kahama ambapo marehemu alifika hospitalini hapo kwaajili ya kujifungua ndipo aliambiwa atoe fedha ili apatiwe huduma.

Akizungumza kwa niaba ya familia hiyo kiongozi wa familia Mwanambalu Shinje anaeleza kuwa kutokana na kumpoteza binti na kichanga kwa uzembe uliofanywa na watoa huduma kama familia waliamua kutofanya mazishi ya marehemu hao.

Akitoa salamu za pole Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Shinyanga Mabala Mlolwa amesikitishwa kutokea kwa tukio hilo huku mbunge wa jimbo la Ushetu Emmanuel Cherehani ameishauri serikali kuwachukulia hatua watumishi waliojihusisha na tukio hilo.

Akizungumza kwa njia ya simu Kaimu mkurugenzi manispaa ya Kahama Clemency Mkusu Anaeleza hatua zilizochukuliwa baada ya kubaini tukio hilo ikiwemo kufikishwa kwenye vyombo vya sheria kwa waliobainika kujihusisha na kitendo hicho.


NB: Kwenye hii Dunia hasa ukiwa unaishi Tanzania Fanya juu chini usikose pesa, pesa ndio itakufanya uishi, Fanya unavyoweza iba, tumia ndagu Yani we Fanya unavyojua ila usikose hela.

View attachment 2859671
hiyo NB yako ni hovyo!

MUNGU ndiye kila kitu.
 
Back
Top Bottom