Huyo alikuwa malaya muuzaji mkuu usijisifie kabisa kuwa demu kaachwa na mshkaji
Uko vizuri sana kwenye utunzi big up " una viji misamiati fulani hivi kwa sisi wapenda masimulizi huwaga vina tusuuza roho ... ijapo kuwa hii story yako sijaipenda "....
Hahaa chizi sana wewe " swala la performance " kwenye game " lina tegemea na mvuto wa mwanamke ".... Fahamu kuwa mwanamke unaye muona wewe mzuri kuna wengine wana muona wakawaida tu " kutokana na status aliyonayo .. so huwenda jamaa alimuona kuwa ni demu wa hovyo tu ' so akamtumia kutoa genyeHhahaaa!! Mkuu usiache manzi Lodge ni hatari hasa mechi uki-underperform
Hahaa chizi sana wewe " swala la performance " kwenye game " lina tegemea na mvuto wa mwanamke ".... Fahamu kuwa mwanamke unaye muona wewe mzuri kuna wengine wana muona wakawaida tu " kutokana na status aliyonayo .. so huwenda jamaa alimuona kuwa ni demu wa hovyo tu ' so akamtumia kutoa genye