Mwaka 2014. Ulikuwa mwaka WA kumaliza chuo kikuu Moshi... Nilianza first year Na GPA 3.8 kufika mwaka WA pili ilishuka had 2.9. Na kuanzia kulemewa Na masomo Na kuchukiwa Na ma lecture KWENYE kila course pale chuo. ..
Kufika mwaka WA Tatu wenzangu wanapoenda nyumban Nina sup ya masomo ma NNE including account. Nilibaki chuo ikiwa wenzangu wote wameenda makwao.. nikiwa Na uzun Na kufanya vibarua ndipo siku moja nipo town nakuta mkutano WA mtumishi WA Mungu Gwajima. Niliudhuria Kwa kwenda kuangalia kwamba anarudisha misukule cha ajabu aliitisha maombi KWENYE bahasha pamoja Na sadaka niliandika Kwa kutokuamin Sana
Lakin tangu siku Ile Ile sadaka ili Nena MEMA Kwan Aman ilirud sup nilifauru Na nilianza kupata Kazi mapema Zaidi hata wale walionitangulia .. ujumbe wangu Mungu umnyanyua yoyote Katika kufikisha ujumbe wake na kila MTU anaweza kuwa Na imjiri yake kuweza kuwafikia watu.. . Leo Gwajima alinosaidia Kwa njia ya iman kumjua Yesu wangap watasaidiwa wengine kupitia injiri yake...
Mungu aliye niwezesha Mimi kuvuka kiunzi cha kufeli chuo naomba akasimame Na mtumishi wake kama Kuna makosa namuombea Kwa Mungu amsamehe Na kama Kuna makosa Kwa rahisi namuombea Gwajima msamaha Na kama nimeandika vibaya naomba msamaha... But Mungu achinguziki apangiwi WA kumtumia uwa nyanyuwa walio wanyonge namshukuru Mungu Kwa utumishi wake kupitia mtumishi wake Amina
Kufika mwaka WA Tatu wenzangu wanapoenda nyumban Nina sup ya masomo ma NNE including account. Nilibaki chuo ikiwa wenzangu wote wameenda makwao.. nikiwa Na uzun Na kufanya vibarua ndipo siku moja nipo town nakuta mkutano WA mtumishi WA Mungu Gwajima. Niliudhuria Kwa kwenda kuangalia kwamba anarudisha misukule cha ajabu aliitisha maombi KWENYE bahasha pamoja Na sadaka niliandika Kwa kutokuamin Sana
Lakin tangu siku Ile Ile sadaka ili Nena MEMA Kwan Aman ilirud sup nilifauru Na nilianza kupata Kazi mapema Zaidi hata wale walionitangulia .. ujumbe wangu Mungu umnyanyua yoyote Katika kufikisha ujumbe wake na kila MTU anaweza kuwa Na imjiri yake kuweza kuwafikia watu.. . Leo Gwajima alinosaidia Kwa njia ya iman kumjua Yesu wangap watasaidiwa wengine kupitia injiri yake...
Mungu aliye niwezesha Mimi kuvuka kiunzi cha kufeli chuo naomba akasimame Na mtumishi wake kama Kuna makosa namuombea Kwa Mungu amsamehe Na kama Kuna makosa Kwa rahisi namuombea Gwajima msamaha Na kama nimeandika vibaya naomba msamaha... But Mungu achinguziki apangiwi WA kumtumia uwa nyanyuwa walio wanyonge namshukuru Mungu Kwa utumishi wake kupitia mtumishi wake Amina