New york City
Senior Member
- Jul 24, 2020
- 176
- 567
- Thread starter
- #21
Ahsante kwa baraka zako mkuu ntakunywauzi usiwe mrefu broo kunywa tu pombe...
Ahsante kwa baraka zako mkuu ntakunywauzi usiwe mrefu broo kunywa tu pombe...
Siamini maana mzee wangu naye ni hivyo hivyo
Acha tunywe tu kiongizi pombe kiasi ni tiba piaUnacremisha maisha??? Hushangai kuna alcoholic wanateseka na wengine mnafurahia pombe??
Subiri usikie wakisema bila "pombe hawezi kufanya kazi".Habari zenyu wana JF naamini mko salama na moja kwa moja ntakwenda kwenye Mada.
Kinyume na madhara ambayo watu wameyapata na ambayo watu wanahubiri kila siku juu ya pombe, kwangu imekuwa tofauti kwani kila ninapokunywa pombe (light beers) huwa nafanya mambo ya Msingi kuliko ninapokuwa sijanywa.
Sinywi pombe kulewa sana huwa nakunywa bia mbili tatu hapo nikiingia kazini ntakuwa na LUGHA nzuri sana kwa wateja, Attention to details, na pia nakuwa naweza ku-avoid Minor errors.
Sio hayo tu lakini pia najikuta mtu mwenye huruma ya kusaidia watu na kuwasaidia wafanyakazi wenzangu pale wanapokwama na mambo mengine kama hayo.
Mwisho napenda kusema kuwa sina mpango wa kuacha pombe kwa sababu inanifanya kuwa productive, kufurahia familia, kuwa mstaarabu n.k
ONYO: Unywaji wa pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya yako.
Ahsante Mtumishi hata soda zina madhara dawa ni kuheshimu kiasi, nimesema nakunywa kiasi.Subiri usikie wakisema bila "pombe hawezi kufanya kazi".
Na kweli huwezi kufanya kazi vizuri kwa sababu umeshazoea.
Katika vitu duniani sio vya kujaribu ni pombe, adhari zake ni kubwa mno kuliko maelezo.
Ahsante Mtumishi hata soda zina madhara dawa ni kuheshimu kiasi, nimesema nakunywa kiasi.
kuna aliyekuzuia kunywa?maana kwenye katiba au biblia hujazuiwa..Kunywa kupita kiasi ndio kunywa namna gani? Hicho kiasi kinapimwa vipi? Hivi pombe zilitengenezwa ili nini?
Natamani kunywa pombe siku moja.. nashawishika sana kuonja pombe....
Ni kweli kabisaSubiri usikie wakisema bila "pombe hawezi kufanya kazi".
Na kweli huwezi kufanya kazi vizuri kwa sababu umeshazoea.
Katika vitu duniani sio vya kujaribu ni pombe, adhari zake ni kubwa mno kuliko maelezo.
"33 Macho yako yataona mambo mageni; Na moyo wako utatoa yaliyopotoka.
34 Naam, utakuwa kama alalaye katikati ya bahari; Au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti.
35 Utasema, Wamenichapa wala sikuumia; Wamenipiga wala sina habari; Nitaamka lini, nitazidi kuitafuta tena"
Haitatokea mkuu i know exactly what am doin nimeanza tangu 2000sHata mimi kipindi naanza kuvuta bangi nilikua naenda kanisani nafanya usafi nje na ndani nilikua mwema hivyohivyo subiri iko siku utaona madhara yake
Hata mimi kipindi naanza kuvuta bangi nilikua naenda kanisani nafanya usafi nje na ndani nilikua mwema hivyohivyo subiri iko siku utaona madhara yake