Ushuhuda: Tuache kutafuta mahusiano MITANDAONI

Ushuhuda: Tuache kutafuta mahusiano MITANDAONI

Kwenye huu uzi kunaweza kuwa na mwathirika ambaye anamficha mwenzie na wanamegana bila kinga, kama upo tafadhari kuwa na huruma na okoa maisha, utaenda mahali salama peponi.
Pua wewe ndugu wa aliyeathirika, tafadhari mfahamishe huyo demu/ jamaa wa huyo ndugu yako kuwa ni muathirika. Utakuwa umefanya jambo la kijasiri sana kuokoa maisha ya mtu.
Kuna hii kasumba sikumwambia sababu mwathirika ni ndugu yangu.


Binafsi niwe mkweli napata awareness za huu ugonjwa na mafunzo toka kwa waliokumbana na huu ugonjwa kwa kujua au kutokujua zaidi kupitia JF kuliko sehemu nyingine yoyote. Shukrani jf. Na kutokana na jf niko makini, hivyo kuupata huu ugonjwa kupitia ngono zembe sidhani kama itatokea.
 
Kwenye huu uzi kunaweza kuwa na mwathirika ambaye anamficha mwenzie na wanamegana bila kinga, kama upo tafadhari kuwa na huruma na okoa maisha, utaenda mahali salama peponi.

Binafsi niwe mkweli napata awareness za huu ugonjwa na mafunzo toka kwa waliokumbana na huu ugonjwa kwa kujua au kuyokujua zaidi kupitia JF kuliko sehemu nyingine yoyote. Shukrani jf ni kwa kiasi niko makini, kuupata huu ugonjwa kupitia ngono zembe sidhani kama itatokea.
Endelea kumuomba Mungu mkuu ili aendelee kukulinda na atulinde binadamu sote,kwani juhudi zetu zinategemea pia ulinzi toka kwake.
 
"Yule alikua muathirika wa UKIMWI, nilishindwa kukwambia kwakuwa alikuwa ndugu yangu, ni vibaya kumtoa kasoro marehemu lakini nenda kacheck afaya yako"

leo ni usiku mida ya saa 6 nilimkumbuka msichana mmoja ambaye nilikutana naye kwa bahati mbaya...
Ilikuwa ni bahati mbaya kukutana naye na jana ikawa bahati mbaya kukuta ukrasa wake ukiwa umepambwa na R.I.P nyingi...tena amefariki miaka 2 iliyopita.
nilihudhunika sana kugundua kuwa huyu msichana hivi sasa ni marehemu.
View attachment 839457
JINSI TULIVYO KUTANA
siku moja nilikuwa nasoma ujumbe mbali mbali kwenye magroup ya mahusiano huko whatsapp.

Kuna msichana mmoja kiukweli alinivutia sana, alikuwa anazungumza mambo bila kificho. Alikuwa mrembo haswa. Katika kuchangia mada ndani ya lile group mimi na yeye tulitokea kuelewana sana, urafiki wetu wa ghafra uliza kukutana, baada ya siku tatu mtoto huyoo chumbani kwangu nilimvua nguo tukapeana mambo kisawasawa (Mungu amsamehe na anisamehe sana).

Alikuwa anajua mapenzi sana lakini nilivyo mgeuza mgongo staili ile ya Mbuzi kagoma kwenda (dog) mgongo wake ulikuwa na vipele viwili vitatu nikakumbuka kauli ya mwalimu wangu wa biology kuhusu dalili za muathirika wa ukimwi kuwa ukitumbua kipele cha kawaida huwa kinatakiwa kitoe maji maji lakini kipele kikitoa damu hapo shituka, niliendelea kungonoka na huyu manzi lakini nilimtumbua kipere kimoja pale mgongoni kwake kikatoa damu (nyeg.e bwana wala siku shituka ndio kwanza nikaendelea kumsokomeza ududu mtoto wa watu na yeye hakuwa nyuma kwa kilio cha mahaba na mauno)

Tuliendelea kuwa na urafiki wa kawaida kisha mimi na yeye tukapotezana

Inaendelea......
View attachment 839464
Tulipotezana hadi jana nilipo ona ujumbe mbali mbali za majonzi kwenye ukrasa wa yule msichana juu ya kifo chake kilichotokea miaka miwili iliyopita.
View attachment 839449
Nilihudhunika sana, nikaamua kutafuta ndugu wa marehemu mmoja ambaye nilikuwa na mawasiriano naye, ndipo akaniambia kuwa ndugu yake (huyo msichana marehemu) alikuwa Muathirika wa ukimwi, na aliurithi ugonjwa huo kutoka kwa wazazi wake ambao wote wamesha tangulia Mbele haki, akaendelea kuwa kabla ya kifo chake aliumwa sana hadi umauti ukamfika.
View attachment 839467

Ujumbe huo ulinihudhunisha sana lakini haUku niogopesha Kwani huwa napenda sana kupima afya yangu mara kwa mara.

KILICHO NIFANYA NIANDIKE USHUHUDA HUU.

nimeona watu mbali mbali wanatafuta wachumba kwenye mitandao ya kijamii haswa hapa JAMIIFORUMS...naomba niwakumbushe ndugu zangu ukimpata mchumba hakikisha unapima nae magonjwa ya zinaa.
Ukishindwa tumia kondomu.
Nyeg.e za siku moja inaweza kukuharibia maisha yako.

R.I.P HYNECY
Najua umetangulia kutuwekea nafasi wote njia yetu ni moja
Asante kwa ushuhuda mkuu,nimejifunza kitu kikubwa sana kwa huu ushuhuda,Mungu atulinde maana kwa akili zetu pekee hatuwezi, majaribu yapo, mengine utatashinda ila kuna mengine unaweza jikuta umeshindwa,Neema ya Mungu ituongoze,pole sana mkuu.
 
Asante kwa ushuhuda mkuu,nimejifunza kitu kikubwa sana kwa huu ushuhuda,Mungu atulinde maana kwa akili zetu pekee hatuwezi, majaribu yapo, mengine utatashinda ila kuna mengine unaweza jikuta umeshindwa,Neema ya Mungu ituongoze,pole sana mkuu.
Asante UBARIKIWE sana
 
Back
Top Bottom