smigo4u
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,408
- 2,844
Yap! Ondoa mashaka tuOh...kumbe...
Yap! Ondoa mashaka tuOh...kumbe...
hiyo kidogo imekuaje?Nzuri kidogo
Nimewamiss kule kijiweni!hiyo kidogo imekuaje?
Hao wa mtaani unajuaje kama ni watu au majini? Kwa taarifa yako, walioko mitaani ndio wapo mitandaoni!Ni ujinga wa hali ya juu kitafuta mtu jf
Yaani kwa mfano unaanzaje kuchart na mtu usie na uhakika ka ni mtu ama ni jini ha ha
Its better i die single kama mtaani nimekosa kuliko kutatuta jf.
Kiukweli mimi ni kati ya watu wachache wanaoogopa sana mahusiano mapya hasa kama mtu simjui vizuri.
mimi nipo, sijakuona wewe...Nimewamiss kule kijiweni!
hongera kwa hilo... Don't ever beleave any onNi ujinga wa hali ya juu kitafuta mtu jf
Yaani kwa mfano unaanzaje kuchart na mtu usie na uhakika ka ni mtu ama ni jini ha ha
Its better i die single kama mtaani nimekosa kuliko kutatuta jf.
Kiukweli mimi ni kati ya watu wachache wanaoogopa sana mahusiano mapya hasa kama mtu simjui vizuri.
kulikoni
Nyege haina utani kabisawatu wanaelewa sana na wanajitahidi sana tatizo vi tight na vi super mini vinajua sana kubadilisha akili kuekekea wehu. labda tungekua na macho utosini ingesaidia, lakini binadamu alivyo mbishi nafikiri angeinama ili apate kushuhudia![]()
Imebaki story
Una uhakika gani....kama hapo ningepata ngwengwe si ungekuwa ujinga wangu...?Kabla hujazaliwa umepangiwa utakufa kwa ugonjwa upi? Sipotezi muda kuangaikia yalopangwa na mola.
kijiwe kipi hicho...si karibishwi huko?Nimewamiss kule kijiweni!
Kama ungezaliwa ukiwa mjinga ndo hapo ungeupata.Una uhakika gani....kama hapo ningepata ngwengwe si ungekuwa ujinga wangu...?
Karibu sana. Ni Jf usiku wa manane saa 6 usiku mpaka 12 asubuhikijiwe kipi hicho...si karibishwi huko?
namimi sipati nafasi hukooo....?Karibu sana. Ni Jf usiku wa manane saa 6 usiku mpaka 12 asubuhi
Karibia mkuunamimi sipati nafasi hukooo....?