Ushuhuda: Tuache kutafuta mahusiano MITANDAONI

Ushuhuda: Tuache kutafuta mahusiano MITANDAONI

Duh! Kumbe tunatakiwa kukubali baada ya mda gan embu nisaidie nisije kukimbiwa mkuu.
Jamani angalau relationship ijengeke. Mtembeleane mara 2 au tatu. Mjuane kiasi. Msomane. Mujue likes za mwenzio etc. Sasa mnakutana leo. Kesho unaombwa mzigo na unatoa. Jamani. Kwani mlikutana Coco beach usiku ? Hakika mwenza mtamu ni yule aliyeko moyoni. Sidhani kama mtu anaweza kumuweka barmaid moyoni. Akimaliza nae ni malipo na kusahsu
 
Mhhh. Siku ta 3 unakula vitu bila hata kanda mbili na mabusu juu. Kama si urongo basi wewe huna akili. Kikwetu msichana akikubali ndani ya siku 3 kimbia kabisa. Tena achana naye.
ujana maji ya moto wanasemaga
 
Jamani angalau relationship ijengeke. Mtembeleane mara 2 au tatu. Mjuane kiasi. Msomane. Mujue likes za mwenzio etc. Sasa mnakutana leo. Kesho unaombwa mzigo na unatoa. Jamani. Kwani mlikutana Coco beach usiku ? Hakika mwenza mtamu ni yule aliyeko moyoni. Sidhani kama mtu anaweza kumuweka barmaid moyoni. Akimaliza nae ni malipo na kusahsu
Hujawahi kusoma hadithi ya Mua uliozamisha meri....? Kama umeisoma huwezi kustaajabu hili....nyege ni kitu kingine kabisa
 
Mi mwenyewe nimekutana na msichana mzuri mtandaoni na ana tabia njema hadi raha. Social media zinarahisisha connections ila inategemea na akili ya mtumiaji anaiendesha vipi halmashauri ya kichwa chake!
wazuri wapo na madungaembe pia yapo....
 
Mhhh. Siku ta 3 unakula vitu bila hata kanda mbili na mabusu juu. Kama si urongo basi wewe huna akili. Kikwetu msichana akikubali ndani ya siku 3 kimbia kabisa. Tena achana naye.
Sio siku tatu msichana unaweza kutana nae barabarani ukaingiza vocal na akageuza kwenda geto na ukamgegeda kama kawaida
 
Mi mwenyewe nimekutana na msichana mzuri mtandaoni na ana tabia njema hadi raha. Social media zinarahisisha connections ila inategemea na akili ya mtumiaji anaiendesha vipi halmashauri ya kichwa chake!
Inawezekana kwa sababu tabia ya mtu ni ya mtu na ipo kwa mtu. Kuna wasichana nimalaya na hawana fb wa jf wa insta. Sio kweli kwamba tabia mbaya zinapatikana mtandaoni tu. Wapo mtandaoni wanatabia nzuri sana na wapo wenye tabia mbaya. Hali kadhalika wapo mitaani wanatabia mbaya na nzuri pia
 
"Yule alikua muathirika wa UKIMWI, nilishindwa kukwambia kwakuwa alikuwa ndugu yangu, ni vibaya kumtoa kasoro marehemu lakini nenda kacheck afaya yako"

leo ni usiku mida ya saa 6 nilimkumbuka msichana mmoja ambaye nilikutana naye kwa bahati mbaya...
Ilikuwa ni bahati mbaya kukutana naye na jana ikawa bahati mbaya kukuta ukrasa wake ukiwa umepambwa na R.I.P nyingi...tena amefariki miaka 2 iliyopita.
nilihudhunika sana kugundua kuwa huyu msichana hivi sasa ni marehemu.
View attachment 839457
JINSI TULIVYO KUTANA
siku moja nilikuwa nasoma ujumbe mbali mbali kwenye magroup ya mahusiano huko whatsapp.

Kuna msichana mmoja kiukweli alinivutia sana, alikuwa anazungumza mambo bila kificho. Alikuwa mrembo haswa. Katika kuchangia mada ndani ya lile group mimi na yeye tulitokea kuelewana sana, urafiki wetu wa ghafra uliza kukutana, baada ya siku tatu mtoto huyoo chumbani kwangu nilimvua nguo tukapeana mambo kisawasawa (Mungu amsamehe na anisamehe sana).

Alikuwa anajua mapenzi sana lakini nilivyo mgeuza mgongo staili ile ya Mbuzi kagoma kwenda (dog) mgongo wake ulikuwa na vipele viwili vitatu nikakumbuka kauli ya mwalimu wangu wa biology kuhusu dalili za muathirika wa ukimwi kuwa ukitumbua kipele cha kawaida huwa kinatakiwa kitoe maji maji lakini kipele kikitoa damu hapo shituka, niliendelea kungonoka na huyu manzi lakini nilimtumbua kipere kimoja pale mgongoni kwake kikatoa damu (nyeg.e bwana wala siku shituka ndio kwanza nikaendelea kumsokomeza ududu mtoto wa watu na yeye hakuwa nyuma kwa kilio cha mahaba na mauno)

Tuliendelea kuwa na urafiki wa kawaida kisha mimi na yeye tukapotezana

Inaendelea......
View attachment 839464
Tulipotezana hadi jana nilipo ona ujumbe mbali mbali za majonzi kwenye ukrasa wa yule msichana juu ya kifo chake kilichotokea miaka miwili iliyopita.
View attachment 839449
Nilihudhunika sana, nikaamua kutafuta ndugu wa marehemu mmoja ambaye nilikuwa na mawasiriano naye, ndipo akaniambia kuwa ndugu yake (huyo msichana marehemu) alikuwa Muathirika wa ukimwi, na aliurithi ugonjwa huo kutoka kwa wazazi wake ambao wote wamesha tangulia Mbele haki, akaendelea kuwa kabla ya kifo chake aliumwa sana hadi umauti ukamfika.
View attachment 839467

Ujumbe huo ulinihudhunisha sana lakini haUku niogopesha Kwani huwa napenda sana kupima afya yangu mara kwa mara.

KILICHO NIFANYA NIANDIKE USHUHUDA HUU.

nimeona watu mbali mbali wanatafuta wachumba kwenye mitandao ya kijamii haswa hapa JAMIIFORUMS...naomba niwakumbushe ndugu zangu ukimpata mchumba hakikisha unapima nae magonjwa ya zinaa.
Ukishindwa tumia kondomu.
Nyeg.e za siku moja inaweza kukuharibia maisha yako.

R.I.P HYNECY
Najua umetangulia kutuwekea nafasi wote njia yetu ni moja
pole sana.Ni ujumbe mzuri sana kwa jamii
 
basi unakuta ma player kama hawa wanacheza vibaya lakini hawapati ukimwi,wewe tulia mumeo anakueletea ukimwi ndani..life is NOT fair
 
Mimi mwenyewe nimepata mke mtandaoni tena hapa jf
Hongera sana mkuu Mungu awape maisha marefu na yenyewe furaha na mafanikio kedekede,hakika watu wanakutana popote na kutimiza malengo muimu kujitambua na kuelewa unataka nn,hongera once again.
 
Kwani wanawake waliopo mitandaoni si ndio hao hao waliopo huko uraiani?

Au mleta mada unadhani kua hawa wanawake waliopo mitandaoni wao hua wanaishi mitandaoni tuu?
 
Back
Top Bottom