Ushuhuda: Namna CCM inavyofanya ugaidi nchini

Ushuhuda: Namna CCM inavyofanya ugaidi nchini

Huu ushuhuda ungemwagwa pale Soweto siku ile kabla ya tukio wakati Lema akimwaga mboga na ugali wa mafisadi,ungepokewa na wananchi kwa kile kibwagizo chao, UUWIII!
 
CCM MA Mafia KIkwete is a disgrace to our nation,
 
Kwa ushahidi huu na yale yanayoendelea kutokea katika nchi yetu, CCM ni janga la taifa la Watanzania.Hii ndio tabia ya ukweli hata wasiposema,mawe yatasema.
 
crashwise ubarikiwe sana msaidie pia huyo kamanda.magamba yanaendelea kuumbuka
 
Mwenyekiti wa chama hiki ni mjeshi, katibu wake mjeshi na waziri mkuu ni TISS hivyo mambo ya ukachero na vita si ajabu. Wanatumia taaluma zao kufanikisha maslahi ya kisiasa.

Kama wakuu wa chama ni wakufunzi na wahitimu kijeshi....kama ilivyo kwa wakuu wa mikoa na wilaya yet wameruhusu raslimali za taifa kufujwa basi hawafai. Kuwang'oa ni haki ya kila mtanzania japo ktk ugumu wa kidemokrasia hama kwa njia nyingine.
 
Watatunga mengi maana uongo na uzush ndio utamdun wa CDM wakizan ndio trick.hata mbowe kasibitisha ilo.SHAME ON CDM

jamaa mnaroho ngumu ile mbaya.mambo mengine hamshirikishi ila yakibackfire ndo vile inabidi mfe na tai shingoni.mwongo mpe muda
 
Kumbe ndiyo maana viongozi waandamizi wa chama wanasema CCM itatawala milele?
 
Nilisha sema na leo nasema tena!"Ukweli huwa una tabia ya kukawia kufika uliko kusudiwa, hata hivyo huwa hauachi kufika, unahitaji kiwango kidogo cha uvumilivu na hekima kwenye kuusubiri".

Kama silaha imeingia kutoka china na bado majeshi yetu na usalama wa Taifa hawakuweza kung'amua, itakuwa sahihi kusema kuwa hata bomu ambalo chagonja amekiri kuwa linatoka china usalama na majeshi haya havikuweza kuyaona.

Kuna mtu alinitumia wimbo unaitwa "Navumilia tu", una huzuni nyingi ukiusikiliza ila una maafundisho ndani yake.

Una maneno "Navumilia tu, ila haya yana mwisho"

Hapo kwenye red: Angalia nukuu hizi tatu kuhusu 'ukweli' (truth):

1. Confucius, the 600 BC Chinese philosopher said there are three things that cannot long be hidden: the sun, the moon, and the truth. It is from him that the age long proverb "truth will out" is attributed.


1. Mark Twain, the American novelist, said of the difference between truth and fiction: fiction has to make sense.

3. Arthur Conan Doyle, the creator of Sherlock Holmes, the legendary super sleuth of late 19th century detective novels defined truth thus: when you have eliminated the impossible, that which remains, however improbable, must be the truth.
 
There are currently 303 users browsing this thread. (37 members and 266 guests)

When you have more guests than members in a thread it tells a lot.......people from the "special branch"
 
nashauri huyu bwana angejitokeza adhalani amwage sumu na aiwe kinga kwake kwa sababu asipo fanya hivyo itakuwa hatari kwake ni bora angemwaga siri adhalani mpaka ccm wajue na waogope kumuua na ikitokea ameuwawa tutajua ni ccm ndio wamemuua.
 
There are currently 303 users browsing this thread. (37 members and 266 guests)

When you have more guests than members in a thread it tells a lot.......people from the "special branch"

including the Serial Killer himself Mwigulu Nchemba
 
Last edited by a moderator:
Na mimi ni shahidi kuna kijana aliwahi chukuliwa kwetu na akasomeshwa isivyojulikana, japo uwezo wake kimasomo ulikuwa kidogo sana alisota kijijini baada ya kumaliza elimu ya msingi kama miaka 5, ndipo wakamchukua na sielewi walimchuaje by 1999-2003.

By juzi kati amekutwa yuko lumumba na kasema anaenda kusoma udom, nilihoji kivipi, lakini kwa sababu akuli yangu si ya kuazima nilipata majibu kwamba sisiemu wametenda.

Kiukweli ni kijana ambaye maisha yao ni chini sana kule kijijini. Akiambiwa afanye lolote atafanya kwani kwa sasa sisiemu ni kama baba, ninadhani hata waziwake hawaelewi aliko.

Kama ndio mision ya ccmajambazi mungu yupo wataumbuka tu
 
Back
Top Bottom