Ushuhuda: Namna CCM inavyofanya ugaidi nchini

Ushuhuda: Namna CCM inavyofanya ugaidi nchini

CCM wamechoka kama Pinda alivyoliambia bunge, ndiyo maana kila kitu kipo wazo!

Ugaidi walioufanya Arusha mpaka ukanaswa na vyombo vya habari ni kuchoka kwao

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
magamba kila kukikucha mambo yana waendea kombo mtajuta mpaka ifike 2015 kila kitu kitakua adharani na wananchi watakua na maamuzi sahihi siku ya kupiga kura
 
FOR SURE WatAMUUA, KWA MAELEZO HAYO HAWAHITAJI KUTAJIWA JINA WAMESHA MFAHAMU OGOPA TECHNOLOGY WEWE!!! NASHAURI AELEZE WAZI NA KAMA HAWEZI AENDE NJE YA NCHI KWA MDA HATA MIEZI 8 HADI KUMI. AU AELEZE WAZI KAMA WATAMKORIMBA OK, MUNGU ATAMPOKEA.

nashauri huyu bwana angejitokeza adhalani amwage sumu na aiwe kinga kwake kwa sababu asipo fanya hivyo itakuwa hatari kwake ni bora angemwaga siri adhalani mpaka ccm wajue na waogope kumuua na ikitokea ameuwawa tutajua ni ccm ndio wamemuua.
 
CCM wamechoka kama Pinda alivyoliambia bunge, ndiyo maana kila kitu kipo wazo!

Ugaidi walioufanya Arusha mpaka ukanaswa na vyombo vya habari ni kuchoka kwao

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Mkuu Mungi

Mimi huwa najiuliza bila kupata majibu! Hivi kweli think tank ya ccm ni kina @Mwingulu nchemba na @nnauye jr?! Hivi watu kama kina mzee Butiku au SAS wanayafurahia haya maovu?! Kwa akili za kina Nape na Mwigu ni haki yao kutokana na upeo wao.


wanacho takiwa ccm kujua, huwezi kuwafanyia umafia wananchi halafu wakaujua umafia wao halafu wananchi hao waendelee kuunga mkono umafia.
 
Last edited by a moderator:
Ila yote yana mwisho mkuu tena mwisho wenyewe hauko mbali. Soma signature yangu! Liberation is near!

Nilisha sema na leo nasema tena! "Ukweli huwa una tabia ya kukawia kufika uliko kusudiwa, hata hivyo huwa hauachi kufika, unahitaji kiwango kidogo cha uvumilivu na hekima kwenye kuusubiri".

Kama silaha imeingia kutoka china na bado majeshi yetu na usalama wa Taifa hawakuweza kung'amua, itakuwa sahihi kusema kuwa hata bomu ambalo chagonja amekiri kuwa linatoka china usalama na majeshi haya havikuweza kuyaona.

Kuna mtu alinitumia wimbo unaitwa "Navumilia tu", una huzuni nyingi ukiusikiliza ila una maafundisho ndani yake.

Una maneno "Navumilia tu, ila haya yana mwisho"
 
Mkuu Mungi

Mimi huwa najiuliza bila kupata majibu! Hivi kweli think tank ya ccm ni kina @Mwingulu nchemba na @nnauye jr?! Hivi watu kama kina mzee Butiku au SAS wanayafurahia haya maovu?! Kwa akili za kina Nape na Mwigu ni haki yao kutokana na upeo wao.


wanacho takiwa ccm kujua, huwezi kuwafanyia umafia wananchi halafu wakaujua umafia wao halafu wananchi hao waendelee kuunga mkono umafia.
Maskini kijana wa kiislamu hujui uendako umefumbua macho umeona dunia ni mahali boraa pa kuishi umesha jitengenezea Chadema ndio mungu wako pole mkuu ni utoto unakusumbua kujitengenezea mungu mwingine sio lazima sanamu hata chadema unaweza kufanya awe ni mungu wako!
 
Mwenye chama chake CCM akifufuka leo atakuta chama kinanuka ugaidi, uharamia wa nyara, ufisadi, umbeya, utalii angani, utengenezaji madawa fake, utapeli, kujilimbikizia mali, makaburu weusi, biashara ndani ya ikulu, uporaji na usafirishaji wa mali asili nk nk. Anaweza akafadhaika akatamani kurudi alikokuwa.
 
MUNGU ni mwema sana.kilio cha waja wake amekisikia,sasa ni muda wa kuona majibu yake.ufedhuli wao wote utafichuliwa muda sio mwingi.
 
Mkuu Mungi

Mimi huwa najiuliza bila kupata majibu! Hivi kweli think tank ya ccm ni kina @Mwingulu nchemba na @nnauye jr?! Hivi watu kama kina mzee Butiku au SAS wanayafurahia haya maovu?! Kwa akili za kina Nape na Mwigu ni haki yao kutokana na upeo wao.


wanacho takiwa ccm kujua, huwezi kuwafanyia umafia wananchi halafu wakaujua umafia wao halafu wananchi hao waendelee kuunga mkono umafia.
Haya maswali muulize Mbowe na Slaa kwamba haya mambo mnayofanya kwa sasa mfano swala la Soweto Mtei anayajua?
 
CHADEMA wana dakika moja ya kuujulisha ulimwengu namna ya serikali ya CCM ilivyo ya kigaidi..
 
Uzuri wananchi washaanza kuutambua ukweli kuwa CHADEMA ni waongo kwahiyo mwisho wa siku aibu ipo juu yao
 
Uzuri wananchi washaanza kuutambua ukweli kuwa Chadema ni waongo kwahiyo mwisho wa siku aibu ipo juu yao

siku CHADEMA italapo amua kuweka mambo hadharani sijui utakuja na single ipi...
 
Mbaya sana hii.



Yani wewe acha tu Best!
Hapa tulipo hakika tutapata kusikia mengi sana yaliyotendwa na mafisadi.
Mwenyenzi MUNGU atawafunua hawa mafisadi katika matendo yao yote kwa raia wasio na hatia waliouawa mchana kweupe!
 
Back
Top Bottom