Ushuhuda: Mama mtoto wangu anaendelea vizuri baada ya kuwekewa mashine ya kuzalisha mvuke kwenye mfumo wa hewa ndani ya hospitali moja mjini Dar

Mkuu, Mzigo Upo Wa Kutosha.Waulize Watu Wako Wa Karibu Wanaovaa White Coats Wale, Wakiwa Kazini.
 
Kwani ndege za kutoka south hazijazuiliwa, maana huko kimeshazaliwa kikali zaidi...
 
Kipindi hiki vifo vyao covid 19 vimekuwa vingi na wagonjwa wameongezeka. Kuna family friend moja nyumba nzima waliolazwa na sasa wanaendelea matibabu nyumbani kwao na hakina anayeruhusiwa kuingia
Mkoa gani mkuu?
 
ulienda morogoro?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…