PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,067
- 1,827
Nimeishi zaidi ya miaka 4 nikiwa na hofu ya kuambukizwa virusi vya Ukimwi,ila tangu nilipopimwa,nimekuwa na amani sana moyoni,haswa pale nilipoambiwa afya yangu iko salama,sitasahau wasiwasi nilioishi nao kwa kipindi chote cha miaka 4, jamani,tupime afya zetu tuwe huru
===
Hii inatokana na aina ya maisha niliyopata kuishi,nimeishi visiwani,nikashiriki ngono bila kinga, lakini pia niliwahi shiriki denda na demu ambaye aliniambia kuwa ni mwasirika wa ukimwi,ambaye alinihurumia kuniambukiza,ila akaishia kunipa kiss,tangu hapo mpaka naoa,niliishi kwa wasiwasi sana,mpaka mke wangu anapata ujauzito,wasiwasi ukaja kuhusu kwenda klinic,ila namshukuru Mungu tulikutwa tuna afya nzuri,siku hizi nalala kwa amani tena mpaka nakoroma,maana mh,niliteseka sana,jamani tusiogope kupima,ukipima unakuwa huru
===
Hii inatokana na aina ya maisha niliyopata kuishi,nimeishi visiwani,nikashiriki ngono bila kinga, lakini pia niliwahi shiriki denda na demu ambaye aliniambia kuwa ni mwasirika wa ukimwi,ambaye alinihurumia kuniambukiza,ila akaishia kunipa kiss,tangu hapo mpaka naoa,niliishi kwa wasiwasi sana,mpaka mke wangu anapata ujauzito,wasiwasi ukaja kuhusu kwenda klinic,ila namshukuru Mungu tulikutwa tuna afya nzuri,siku hizi nalala kwa amani tena mpaka nakoroma,maana mh,niliteseka sana,jamani tusiogope kupima,ukipima unakuwa huru