Ushuhuda: Jinsi ninavyojenga nyumba ya ndoto yangu

Ushuhuda: Jinsi ninavyojenga nyumba ya ndoto yangu

Mmmh mbona bado umetumia mahela kibao?[emoji849]

Japo napenda ghorofa ila kwa mtindo huu, silitaki tena,

Btw naomba karamani kako basi nioshe oshe macho[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kipendacho roho hula nyama mbichi mkuu.
Pia, inategemea na how you look at it. Kuna waliotumia zaidi ya hiyo hela kujenga nyumba ya kawaida tu ambayo si gorofa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Okay nimeona safi sana Mkuu.....Sasa kwa mtu wa kawaida kumake mpaka ~ 65m sio mchezo.
Hata mimi mbona ni mtu wa kawaida sana mkuu?
Kitu ambacho nimejifunza ni kwamba unatakiwa kwanza kuwa na nia dhabiti, pili kuwa na constant flow ya kiasi fulani cha fedha kila baada ya interval fulani (bila kujali ni shilingi ngapi).


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kwamba ghoroga kujenga ni gharama?

Nina rafiki anajenga Bunju katumia zaidi ya milioni 70 na hajamaliza halafu keshachoka anajuta kujenga ghorofa
Kwamba ni gharama au laah, nadhani pia inategemea na vitu vingi ikiwa ni pamoja na uwezo wako.
Ni muhimu kujua angalau makisio ya unachotaka kujenga ili kuepusha hali kama iliyomkuta rafiki yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimependa sana uwekaji wako wa records.

Kwa faida ya sisi wengine na ya kwako pia baadae kwenye ujenzi wa nyumba nyingine, ningeomba utengeneze summary kwa ku-addup gharama zinazoendana na kuziweka kama summary, mfano:
1. Gharama za ufundi uashi ---- xxx
2. Gharama za tofali mpaka kufika hapo --- xxx
3. Gharama za cement --- xxx
4. Gharama za ufundi kupaua ---xxx
5. n.k nk

Hii itasaidia kufanya analysis nzuri ya kujua uhalisia wa bei na ubora wa items husika.

Otherwise, hongera sana.
 
Hongera. Ila shida kidogo ninayoiona katika huo ujenzi zile nguzo 4 za kushika hiyo nyumba ya juu. Ukicheza na hapo unaweza ukaona una ghorofa,lakini tahadhali isije ikawafukia mkuu. Hapo panatakiwa fundi engineer sio ili mradi mafundi ujenzi. Watu wanaogopa kujenga hata chumba kimoja juu kama hiyo yako ksbb tu kitako tu ni sawa na nyumba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We ni kabila gani ndugu hadi uzuzuke na ghorofa,ghorofa maana yake ni nyumba mbili au tatu kwa moja mbona wengi umiliki zaidi ya 10 na si ghorofa
Wala sio kuzuzuka mkuu, bali ni mapenzi tu.
Ni pesa yangu mkuu, nina haki ya kuitumia kujenga kile nipendacho; Naona umetumia lugha kali kama vile uliniazima au ulinipa pesa ya kujengea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera. Ila shida kidogo ninayoiona katika huo ujenzi zile nguzo 4 za kushika hiyo nyumba ya juu. Ukicheza na hapo unaweza ukaona una ghorofa,lakini tahadhali isije ikawafukia mkuu. Hapo panatakiwa fundi engineer sio ili mradi mafundi ujenzi. Watu wanaogopa kujenga hata chumba kimoja juu kama hiyo yako ksbb tu kitako tu ni sawa na nyumba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wala usiwe na shaka.
Standards zote zilfuatwa katika yote hayo unayosema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom