Dr. Wansegamila
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 3,027
- 8,378
- Thread starter
- #21
Brother!!!
Mashavu nn tena? Kuna tatizo LA kiufund limetokea au?
Nashukuru mkuu.Ninakupongeza sana, japo mtirirko wako wa kumbukumbu hauvutiii lakini sio neno lengo limefikiwa.
Je ulitumia consultant/mtaalamu wa ujenzi au fundi wa kawaida.
Kuna vitu vichache kama mkandarasi nakosa majibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Okay nimeona safi sana Mkuu.....Sasa kwa mtu wa kawaida kumake mpaka ~ 65m sio mchezo.
Mmmh mbona bado umetumia mahela kibao?[emoji849]
Japo napenda ghorofa ila kwa mtindo huu, silitaki tena,
Btw naomba karamani kako basi nioshe oshe macho[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app