Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,185
- 10,911
Nafaidika aje? Tuwe na busaraHahahahahahaha kwani wewe hujafaidika na hilo? Si umejua mengi
Nafaidika aje? Tuwe na busaraHahahahahahaha kwani wewe hujafaidika na hilo? Si umejua mengi
Niliingia na hii course work kwenye QM na alinikamata mwalimu wa somo na ndio somo pekee limenifanya kuruka discoNdiyo maana mnaingia kwenye UE na course work za single digits a.k.a 0-9 out of 40 kwa sababu ya kuendekeza mambo ya kutiki na kutotiki soma kijana
Duh pole mkuu limekurusha disco? Seriously?Niliingia na hii course work kwenye QM na alinikamata mwalimu wa somo na ndio somo pekee limenifanya kuruka disco
Seriously course work ya 9 na nilikua sina sifa ya kupiga ue ila nilikaza nikasahihishiwa ila ngoma iligoma kubalanceDuh pole mkuu limekurusha disco? Seriously?
Pole sana mkuu, but si ilibidi ucarry over why uruke disco?Seriously course work ya 9 na nilikua sina sifa ya kupiga ue ila nilikaza nikasahihishiwa ila ngoma iligoma kubalance
Nilimpa mtu kazi anifanyie akadakwa wote tukarukishwa disco nipo mtaani nakula nyasi na nimekua mentor wa mtaa kuhusu kutake risk kwenye mambo ya msingiPole sana mkuu, but si ilibidi ucarry over why uruke disco?