USHOGA nchini: Tuangaliane machoni sasa!

USHOGA nchini: Tuangaliane machoni sasa!

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,946
Reaction score
38,658
Tumesikia na kuona hivi karibuni kwa jirani zetu Uganda. ambapo rais wa nchi hiyo akisaini kuidhinisha kuanza kutumika kwa sheria dhidi ya matendo ya ushoga nchini humo. Ikumbukwe kwamba adhabu kali zitawaandama ikiwemo vifungo vya maisha kwa wanaojiushisha na mapenzi ya jinsia moja. Ingawa sambamba na hilo, sheria hiyo imewabana wanawake ambao uvaaji wao unakiuka maadili kwa kuwawekea vifungu vya adhabu.

Mwangwi wake umesikika dunia nzima ambapo tayari sasa nchi wahisani (wanavyopenda kujiita) wameanza kuondoa kitu kinachoitwa misaada kwa serikali ya Museveni. Waholanzi wamekenda mbali zaidi kwa kusema fedha walizoziondoa kwenye bajeti ya serikali watazielekeza kwenye taasisi zinazofanya kampeni za haki za binadamu (hasa hasa zinazotetea maslahi ya mapenzi ya jinsia moja)....

Turudi hapa nchini kwetu. Ambapo kumesikika wanaharakati wakipambana na mawazo ya jamii kuhusiana uhalali na uharamu wa mapenzi ya jinsia moja. Tayari tangu kale yameshajitokeza mashirika ambayo yameoneshwa wazi wazi na mengine kwa kificho kuunga kwao mkono kampeni hizi za kutaka kuhalalisha mapenzi hata ndoa za jinsia moja. Hapa ikumbukwe kuna ushoga na usagaji ambapo wahusika wakuu wanapiganiwa hakii zao waweze kuendesha shughuli zao wazi wazi bila kuchukuliwa hatua za kisheria na jamii isione kwamba ni kinyume na maadili.

Hebu tutazamane usoni sasa...
  1. Nini mantiki ya mataifa yenye nguvu kubwa kiuchumi kulazimisha maadili yao kuwa sheria kwenye nchi zingine hususani Afrika?
  2. Ni kweli maisha ya mashoga na wasagaji yapo hatarini kiasi ya kutungiwa sheria ya kuwalinda?
  3. Kuna ukweli kiasi gani kisayansi kwamba ushoga ni tatizo la kitabia na si kijenetiki?

Kwa mtazamo wangu,
Ni kwamba mahusiano ya kingono hata kuingia kwenye ndoa za jinsia moja hatima yake ni hitimisho la mwendelezo wa kizazi. Ambapo katika mahusiano ya ndoa (tafsiri yangu) ni lazima mwenza mmoja awe na uwezo wa kutoa mbegu ambazo zinaweza kurutubishwa ktk viungo vya uzazi wa mwenza mwingine ili kutunga mimba hatimaye kizazi kuendelea kwa kupata mtoto ama watoto... Lakini mwanaume anapomaliza tamaa zake za ngono kwa mwanaume mwenzake kisha tunalazimishwa kuhalalisha uhusiano huo kama njia mojawapo ya asili katika kutendea haki hisia zetu ni wazi tunaliangamiza taifa.

Pia tujadili hizo tabia zinazopelekea uwepo na ukuaji wa wasagaji na mashoga nchini.

Jambo linalostua zaidi kwa mtazamo wangu ni kwamba,
Katika nchi zetu za kiafrika, mashoga walikuwepo tangu kale na jamii haikuwatenga na wala hawakuwa hatarini kimaisha. Nadhani wale waliokulia Dar miaka ya 80 hamtamsahau Aunty Mudy ambaye alikuwa maarufu sana Dar enzi hizo...

Kinachostua sasa ni kwamba, nchi za Magharibi zimeanza kushinikiza mataifa yetu kutambua haki za wapenzi wa jinsia moja kwa miongo kadhaa sasa. Najiuliza haya maslahi ya kuunga mkono tabia zinazopingana na maadili, utamaduni na mapokeo yetu ni ya nani? Kwa nini tulazimishwe kuishi kama watakavyo wao? Ni jambo gani Magharibi imewahi kukubali kutoka Afrika? Kwa nini Afrika ilazimishwe kukubali kila la kwao?

Maswali haya na mengine tunaweza kujibu na kupata mwelekeo mzuri kwa vizazi vyetu
 
Inasikitsha sana. Tena Rais wangu nimpendaye Obama amenisikitisha mara mbili!!! Mke wake anajisikiaje?? Wale mabinti zake Shasha na Malia wakiwa wasagaji itakuwaje? Nina imani Michel Obama ana yake ya moyoni kuhusu huyu bwana!!! Tusubiri Urais wake umalizike!!!
 
Zogwale Ingawa haya yameanzia zamani kidogo na huyu Obama anaendeleza tu alipoachiwa na watangulizi wake, Lakini bado kama Taifa tunapaswa kujadili kwa kina athari zake na manufaa ya ushoga kijamii.
 
Last edited by a moderator:
Zogwale Ingawa haya yameanzia zamani kidogo na huyu Obama anaendeleza tu alipoachiwa na watangulizi wake, Lakini bado kama Taifa tunapaswa kujadili kwa kina athari zake na manufaa ya ushoga kijamii.

Sure mkuu, lakini kwa Obama kama Mkristu ambaye anasali makanisa ya kiroho nilitegemea awe mute kwa hili jambo. Ni kweli walianza wenzake nyuma but naona kama vile amelishabikia sana. Ningekuwa yeye ningelisemea by the way tu only kwa kuwa akina Cameroon wanalishabikia etc. Mbona Urusi Taifa kubwa lakini halibali ushog? Ushoga kijamii haufai, vitabu vya Mungu hasa kwa wakristu kabisa havijawahi kusema mwanaume au mwanamke wanaoana!!! Wanaooana ni mwanamume na mwanamke tu basi. Mungu aliumba mwanaume na penis na mwanamke na vagina kwa ajili ya kazi hii. Hakusema mwanaume atumie tundu la haja kubwa kutimiza matakwa ya ngono. Likewise kwa wanawake kuoana na kutuma vibrators au vidole na mengineyo. Napinga ushoga na usagaji kwa nguvu zote.
 
Kujadili upuuzi wa mashoga ni kuyataka yaonekane na yenyewe yanajaliwa.
Kwa hiyo hata kujadili ukeketaji ni kuwajali mangariba?

Tuangalie hili kwa mapana. Haliepukiki kwani linazungumzwa sehemu nyingi sana.

Ukiingia FB na mitandao mingine ya kijamii utakuta watanzania walioamua kujianika wazi kabisa kuwa wanashiriki ushoga na usagaji....
 
Rais Obama amemkumbatia JK na kumuita ni rafiki by Ikulu Dsm
 
......Mungu aliumba mwanaume na penis na mwanamke na vagina kwa ajili ya kazi hii. Hakusema mwanaume atumie tundu la haja kubwa kutimiza matakwa ya ngono. Likewise kwa wanawake kuoana na kutuma vibrators au vidole na mengineyo. Napinga ushoga na usagaji kwa nguvu zote.
Twende kimtindo sasa.
Ni nini hasa hupelekea mtu mume kuingia kwenye shughuli za ushoga? Maana moja ya hoja kuu ya Museveni ni kwamba Ushoga si tatizo la kijenetiki bali ni tabia....

Twende sasa
 
Twende kimtindo sasa.
Ni nini hasa hupelekea mtu mume kuingia kwenye shughuli za ushoga? Maana moja ya hoja kuu ya Museveni ni kwamba Ushoga si tatizo la kijenetiki bali ni tabia....

Twende sasa

Tabia mara nyingi ni kitu cha kuiga na si cha kuzaliwa nacho. Kwa maendeleo ya science na technology tunaona kabisa vijana wengi wana access na mitandao ya ngono/porn kwa wingi, ipo wazi kabisa ya wasagaji, mashoga and the like. Haya yote maingiliano yameanzia huko ughaibuni na sisi tunaiga. Kama ni genetically basi unataka uniambie kuwa mwanaume huyo aliumbwa na homones za kike au niseme nini? Na wanawake wasagaji je, maana hao kuna mmoja ni mume na mwingine ni mke!!!! Tena wao kwa kuwa hawana penis basi wanatumia vifaa maalum au mijono na midomo. Kweli ndivyo inatakiwa kuwa? Kimsingi nakubaliana na M7 kuwa ufirauni huu ni tabia ya mtu tu kutokana na mwingiliano wa kibinadamu na mazingira.
 
Inasikitsha sana. Tena Rais wangu nimpendaye Obama amenisikitisha mara mbili!!! Mke wake anajisikiaje?? Wale mabinti zake Shasha na Malia wakiwa wasagaji itakuwaje? Nina imani Michel Obama ana yake ya moyoni kuhusu huyu bwana!!! Tusubiri Urais wake umalizike!!!

huwezi jua labda michele ni mwanaume ila ana sura ya kike na umbo la kike..inawezekana sie tunamwona mwanamke kumbe ndan ni kidume...teh labda wale watoto wamewa-adapt
 
Kwa hiyo hata kujadili ukeketaji ni kuwajali mangariba?

Tuangalie hili kwa mapana. Haliepukiki kwani linazungumzwa sehemu nyingi sana.

Ukiingia FB na mitandao mingine ya kijamii utakuta watanzania walioamua kujianika wazi kabisa kuwa wanashiriki ushoga na usagaji....
ha ha kila mtu ana uhuru wa kufanya yake..cha msingi serikali isi support gaysm kama ilivyo tangazwa 2011 na Mr.Misifa Membe lakini iache uhuru binafsi wa watu kufanya yao! Uliberali muhimu..kwani ukiona mtu anafanya yake we kinakuuma nini ama una washwa nini? si yeye na mungu wake ndio wanajijua? sasa??

#TeamLiberalism

 
Twende kimtindo sasa.
Ni nini hasa hupelekea mtu mume kuingia kwenye shughuli za ushoga? Maana moja ya hoja kuu ya Museveni ni kwamba Ushoga si tatizo la kijenetiki bali ni tabia....

Twende sasa

mashoga wengi sana ukisikiliza historia zao unakuta walikua wamebakwa(wamelawitiwa) wakiwa wadogo,sema hawakusema kwasabab ya woga na matokeo yake wanazoea huo mchezo..hawa wajomba-wajomba,houseboy,baba wadogo sio wa kuwaamin kabisa
 
mashoga wengi sana ukisikiliza historia zao unakuta walikua wamebakwa(wamelawitiwa) wakiwa wadogo,sema hawakusema kwasabab ya woga na matokeo yake wanazoea huo mchezo..hawa wajomba-wajomba,houseboy,baba wadogo sio wa kuwaamin kabisa
Wengi wameingizwa kwa style hiyo na hata kama ishu ikigundulika inamalizwa kiukoo na baadaye mtoto anakuwa ameshaharibiwa kisaikolojia na kimwili.

Ndugu hao hao utasikia wakisimama hadharani kupinga ushoga wakati ktk familia yao wamewahi kufumbia macho tatizo kama hili.

Je kuna vituo vya kuwasaidia kisaikolojia watu walioathirika na unyama kama huu ili warejee ktk hali ya utu wao?
 
Wengi wameingizwa kwa style hiyo na hata kama ishu ikigundulika inamalizwa kiukoo na baadaye mtoto anakuwa ameshaharibiwa kisaikolojia na kimwili.

Ndugu hao hao utasikia wakisimama hadharani kupinga ushoga wakati ktk familia yao wamewahi kufumbia macho tatizo kama hili.

Je kuna vituo vya kuwasaidia kisaikolojia watu walioathirika na unyama kama huu ili warejee ktk hali ya utu wao?

mung aliweka mbele kiken kuwa na nguv ya kujisafisha kwenyw lakin kinyeo hakiwez kujisafisha coz sio mahala pake...mbegu za kiume zina vitu vinne:acid,protns,ages na nyengne nimesahau kidogo hiv vitu vina mchango na athar zake vinapotumika vibya ikiwemo acid ndio maana hata mwanamke anapoingiliwa kinyume na maumbile anakuwa kuna muda anawashwa sana mpaka anaamua kujiingiza vidole kijichokoa ili mradi ajaikune muwasho uishee hii inasababishwa na kutoweza kwa kinyeo kutoa zile mbegu baada ya tendo kama uke unavyofanya. Mim naona hawa wanamambo matatu ya haraka harak wanayoyatak
1-kupunguza uzazi na depopulation.
2-wanataka kutengeneza africa kuwa soko la vifaa na madawa yatakayotumika na yatakayotokana na uchafu huu.
3-ni matokeo ya freemansonry na new world order.
Hofu yangu kwa utegemezi huu wa misaada tutakwepa mwisho wa siku nasi tumo. Wao wanajua fika kabisa kuwa afrika hili jambo litapata mashiko makubwa baadae na kuzidi hata ufaransa kwa sas
 
mung aliweka mbele kiken kuwa na nguv ya kujisafisha kwenyw lakin kinyeo hakiwez kujisafisha coz sio mahala pake...mbegu za kiume zina vitu vinne:acid,protns,ages na nyengne nimesahau kidogo hiv vitu vina mchango na athar zake vinapotumika vibya ikiwemo acid ndio maana hata mwanamke anapoingiliwa kinyume na maumbile anakuwa kuna muda anawashwa sana mpaka anaamua kujiingiza vidole kijichokoa ili mradi ajaikune muwasho uishee hii inasababishwa na kutoweza kwa kinyeo kutoa zile mbegu baada ya tendo kama uke unavyofanya. Mim naona hawa wanamambo matatu ya haraka harak wanayoyatak
1-kupunguza uzazi na depopulation.
2-wanataka kutengeneza africa kuwa soko la vifaa na madawa yatakayotumika na yatakayotokana na uchafu huu.
3-ni matokeo ya freemansonry na new world order.
Hofu yangu kwa utegemezi huu wa misaada tutakwepa mwisho wa siku nasi tumo. Wao wanajua fika kabisa kuwa afrika hili jambo litapata mashiko makubwa baadae na kuzidi hata ufaransa kwa sas
Hii ni hatari kwa kizazi chetu cha sasa kupotea na hatimaye Depopulation kuchukua nafasi yake.

Rehabilitation centers kama za watumiaji wa madawa ya kulevya zinahitajika kuweza kutoa msaada wa kubadili tabia kwa walioathirika na ushoga...
 
Back
Top Bottom