Ushoga katika Tanzania

mimi sina swali coz sio shoga na sitarajii kama kuna ndugu yangu yeyote atakuja kuwa shoga
Acha hizo mkuu yaani bora ukae kimya anaweza kuja kuwa mwanao wa kiume,wengine sio maswala ya utandawazi ila ni maumbile,yaani mtu anazaliwa akiwa shoga,muombe Mungu tu akuepushie na hayo mambo,kuna vitu kama mapepo yanaweza kumtamani mwanao yakawa yanamuingilia ndotoni automatically atazoea na kujikuta ni shoga,kwa ushauri wangu ikiwezekana delete hiyo hoja yako maana itakuwa ni aibu mkuu.:heh:
 
Kwanini watu mnashangaa kusikia kuna mashoga Tanzania? Walikuwepo toka mwanzo wa dunia, sema sababu jamii ilikuwa inakataza ushoga, mpaka wengine kuuawa, walikuwa wanajificha. Sababu ya utandawazi , dunia imekuwa ndogo sasa. Internet inatumika kuunganisha watu duniani wenye interest zinazofanana, mojawapo ikiwa ushoga. Whether unaamini ushoga unafundishwa au unazaliwa nao that's up to you. Lakini usijidanganye kuwa hautaweza kuzaa shoga au hutakuwa na ndugu shoga.
 
ukifilwa siku moja hata kama unajaribu tu lazima utakua shoga for life ukiwa umekaa ipo siku utamis ule msuguanao wa kitu cha moto matakoni ndio maana kuna wanajeshi na viongozi mashoga
 
MKUU NIDELETE KWANI NIMEMTUKANA MTU,mimi nimeeleza kile nilichokihisi ni sahihi kwangu,
 
Honeybee na Willi.a.m mko sahihi kabisa jaman..wapo viongoz kibao wa serikali tunawajua na wanafanya...
 
Kwa kutoleana uvivu kama hivi ndo itakuwa mbinu pekee ya kuangamiza tabia hovyo hovyo kama hizi. Ndiyo yaweza kuwa kweli ukizingatia kanda ya kaskazini Cameroon wengi wanaingia ili kutalii. So huenda wanatalii mpaka maungo ya watu. Jamii ya Arusha yaweza kuliangalia hili na kutafuta jibu.
 

mkuu umeonae! Dah hili jambo hatari kwa kweli! Mungu tusaidie sie waja wako.
 
Duh, kumbe mashoga wengi wanatokea kulekule kwa akina "aisee chaliii yangu", halafu wanajifanya wagumu kumbe hawana lolote zaidi ya kupumuliwa kwa nyuma!!!
acha uduanzi, hii madata ina uhakika gani mjomba au unabonga tu ...... hiyo reserch yake ya kipimbi tu, yani 80% ????? hapana aisee, sio huku kwetu kwa mamorani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…