Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,799
Ni miaka miwili sasa tangu jengo la ushirika lilipoungua.
Cha kusikitisha ni kwamba jengo hilo lililopo katikati ya jiji limeachwa hivyo hivyo na masizi yake, bila kuzibwa waka kufunikwa, na kuharibu kabisa sura nzuri ya bustani ya mnazi mmoja.
Tunaomba wenye jengo walizungushie japo kwa mabati kama hawana fedha ya kulikarabati, maana linafanya mji uonekane kama masalia ya vita.
Cha kusikitisha ni kwamba jengo hilo lililopo katikati ya jiji limeachwa hivyo hivyo na masizi yake, bila kuzibwa waka kufunikwa, na kuharibu kabisa sura nzuri ya bustani ya mnazi mmoja.
Tunaomba wenye jengo walizungushie japo kwa mabati kama hawana fedha ya kulikarabati, maana linafanya mji uonekane kama masalia ya vita.