Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
Wapenzi wote wa chitchat
Awali ya yote napenda nitoe shukrani zangu za dhati kwa shindano hili, kwa wapiga kura wote.
Shukrani za kipekee ziende kwa barafu wa Moyo wangu ErickB52 kwa kuwa nami bega kwa bega katika kuhakikisha ninashinda, love you so much my hubby! Sitamsahau kamwe kwa kazi nzuri Kamanda Nicas Mtey kwa kuhakikisha kambi inashinda, Asante sana kamanda jopo letu la mapambano la kule Tanuruni linaendelea, pamoja sana! Madabily JR shukrani sana, umejitoa kwa dhati katika kampeni na mpaka tumeshinda, pamoja sana kamanda! Shukrani kwa woteeeee. Sasa ni wakati wangu wa utekelezaji.
Shukrani za dhati ziende kwa muandaaji wa shindano Ruhazwe JR kwa kuandaa shindano hili na umekuwa ukiwasisitiza watu wakapige kura, Asante sana, nasubiri zawadi yangu.
Niseme kuwa kwangu Mimi zoezi hili lilikuwa na maana kubwa sana, sijachukulia Kama chitchatting Bali nimefanya Kama uwanja wa field(mazoezi)towards uchaguzi wa kweli 2015. Awali nilikuwa najua siwezi kushinda na wala sikustahili kushinda kuwa miss chitchat kwa sababu moja Mimi sipo sana chitchat na wala huwa sianzishi threads kabisaa, infact Charminglady alistahili kutwaa taji, nikasema ngoja nione nguvu ya kampeni.
Kuna watu hata hawakuwa na mpango wa kupiga kura mfano babu Aspirin lakini nilimwomba na akanipigia kwenye mchujo wa kwanza, wapo wengi wa mfano huu. Sasa nimeridhika na nguvu ya kampeni najipanga kwa harakati mpaka kieleweke.
Pamoja sana, aluta continua!
Awali ya yote napenda nitoe shukrani zangu za dhati kwa shindano hili, kwa wapiga kura wote.
Shukrani za kipekee ziende kwa barafu wa Moyo wangu ErickB52 kwa kuwa nami bega kwa bega katika kuhakikisha ninashinda, love you so much my hubby! Sitamsahau kamwe kwa kazi nzuri Kamanda Nicas Mtey kwa kuhakikisha kambi inashinda, Asante sana kamanda jopo letu la mapambano la kule Tanuruni linaendelea, pamoja sana! Madabily JR shukrani sana, umejitoa kwa dhati katika kampeni na mpaka tumeshinda, pamoja sana kamanda! Shukrani kwa woteeeee. Sasa ni wakati wangu wa utekelezaji.
Shukrani za dhati ziende kwa muandaaji wa shindano Ruhazwe JR kwa kuandaa shindano hili na umekuwa ukiwasisitiza watu wakapige kura, Asante sana, nasubiri zawadi yangu.
Niseme kuwa kwangu Mimi zoezi hili lilikuwa na maana kubwa sana, sijachukulia Kama chitchatting Bali nimefanya Kama uwanja wa field(mazoezi)towards uchaguzi wa kweli 2015. Awali nilikuwa najua siwezi kushinda na wala sikustahili kushinda kuwa miss chitchat kwa sababu moja Mimi sipo sana chitchat na wala huwa sianzishi threads kabisaa, infact Charminglady alistahili kutwaa taji, nikasema ngoja nione nguvu ya kampeni.
Kuna watu hata hawakuwa na mpango wa kupiga kura mfano babu Aspirin lakini nilimwomba na akanipigia kwenye mchujo wa kwanza, wapo wengi wa mfano huu. Sasa nimeridhika na nguvu ya kampeni najipanga kwa harakati mpaka kieleweke.
Pamoja sana, aluta continua!