Ushindi wa Taifa Stars vs matumizi bira ya fedha

Congo

JF-Expert Member
Mar 13, 2008
2,062
2,288
Ushindi wa Taifa Stars ni matokeo ya matumizi bora ya fedha pale TFF na vilabuni. Wenye akili wameshtuka kuwa bila matumizi bora ya fedha zilizopo wanaweza kushukiwa na mwewe bila huruma. Matokeo yake kila kitu kimenyooka na hakuna longolongo. Kocha kalipwa, wachezaji wamepata malipo yao na ahadi kama zipo, vifaa vilipatikana na kadhalika. Fedha ikiheshimiwa ikafanya lililokusudiwa matokeo huwa mazuri tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom