AVANTES
JF-Expert Member
- Sep 17, 2014
- 389
- 340
Baada ya matokeo kutangazwa, tofauti na ilivyozoeleka walioshinda huwa, wanasherehekea ushindi wao, tena wa 97.6% katika historia ya nchi yetu ni ushindi mkubwa kuwahi kutokea tangu tuanze kupiga kura.
Lakini huku kwetu hali imekuwa tofauti, hakuna tofauti kati ya aliyeshinda na aliyeshindwa, tena aliyeshinda anaishi kwa kificho, bendera zote zimeshushwa, na hata ukimuuliza vipi mmeshinda anakuwa mkalii, sasa sijui huu ushindi wa kishindo unaongelewa mara kwa mara na hao walioshinda ni upiiiii?
Lakini huku kwetu hali imekuwa tofauti, hakuna tofauti kati ya aliyeshinda na aliyeshindwa, tena aliyeshinda anaishi kwa kificho, bendera zote zimeshushwa, na hata ukimuuliza vipi mmeshinda anakuwa mkalii, sasa sijui huu ushindi wa kishindo unaongelewa mara kwa mara na hao walioshinda ni upiiiii?