Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,239
Asubuhi ya leo wakati akiwa kwenye mdahalo na Dr. Slaa, mdahalo ulioendeshwa na Star tv kwenye kipindi chake cha "tuzungumze asubuhi", Meneja wa kampeni wa mgombea Urais wa Chama Chama Mapinduzi Abdul Rahaman Kinana amesema kwamba ili uchaguzi wa mwaka huu uwe wa haki, huru na kumalizika kwa salama ni lazima kwa vyama vyote vinavyoshiriki vijue kwamba ushindi si lazima.
Sasa ile kauli mbiu yao ya mwaka huu kwamba "USHINDI NI LAZIMA" haina maana tena!!??
Sasa ile kauli mbiu yao ya mwaka huu kwamba "USHINDI NI LAZIMA" haina maana tena!!??