unajua watu wengine, mimi nilikuwa nasikiliza huo mdahalo, kuna kipindi jamaa wakati anatoa takwimu za ccm mwisho akasema ushindi kwa ccm ni lazima alkini at the end tena aksema lazima vyama vijue ushindi sio lazima, mimi nilishkwa na butwaa, huyu jamaa anamaanisha vyama vya upinzani ndo ushindi sio wa lazima au anamaanisha vyama vyote+ccm? hakueleweka kabisa, make alikuwa anajiuma uma tu, lakini Dr.Slaa akamtadharisha bwana Kinana kuwa hizo kauli zao ndio zinazosababisha vyama vya upinzani hasa CHADEMA kutokuwa na imani na CCM.
CHADEMA wakisema ushindi lazima, majeshi na vyombo vingine vya usalama vinalalamika, vinasema huu ni uchochezi, mimi siwaelewi hawa, hivi wanafikiri tupo zimbabwe hapa?