Ushindi ni kujishinda

Ushindi ni kujishinda

Ushindi wa nini, umshinde nani, kwa mashindano yapi?

Weka malengo yako, pambana kuyafikia, watu wapo tu, unawatumia kufikia malengo yako.

Capitalist tunasema, hatuna permanent friends or enemies, but objectives/interests

SIKUFUNDISHI TENA
 
Ushindi wa nini, umshinde nani, kwa mashindano yapi?

Weka malengo yako, pambana kuyafikia, watu wapo tu, unawatumia kufikia malengo yako.

Capitalist tunasema, hatuna permanent friends or enemies, but objectives/interests

SIKUFUNDISHI TENA
Are you aware that you are a product of your environment!

How can you win without truly owning who you are? Hata hayo malengo yatakuja wti glitches

Ushauri mzuri sawa ila we need to be aligned first..

I never meant about other people or friends
 
Hivi kaka kwanini watu wengi mtaani wanakazia kutafuta pesa tu lakini maarifa hawayatafuti? Unakuta mtu kutwa biashara lakini kusomea mambo ya pesa na uchumi hakuna
Elimu na vitabu vya wakina Robert Kiyosaki ni mafundisho ambayo yamefanyiwa rejea kwenye mifumo ya uko ulaya na amerika. Yaliyoandikwa na yanayofundishwa humo mengi hayapo relevant na mazingira yetu afrika.

Ulaya ukiwa na maarifa ukaweka juhudi kidogo tu unatoboa. Huku kwetu ambapo mifumo ipo shaghalabaghala, maarifa na juhudi pekee haitoshi. Kuna rushwa, connection, fitna, uchawa, undugu, ushirikina n.k. Kwahiyo kila siku lazima ubuni kanuni mpya. Hauwezi kuganda tu hapo hapo kwenye elimu ya kusoma darasani au vitabuni
 
Elimu na vitabu vya wakina Robert Kiyosaki ni mafundisho ambayo yamefanyiwa rejea kwenye mifumo ya uko ulaya na amerika. Yaliyoandikwa na yanayofundishwa humo mengi hayapo relevant na mazingira yetu afrika.

Ulaya ukiwa na maarifa ukaweka juhudi kidogo tu unatoboa. Huku kwetu ambapo mifumo ipo shaghalabaghala, maarifa na juhudi pekee haitoshi. Kuna rushwa, connection, fitna, uchawa, undugu, ushirikina n.k. Kwahiyo kila siku lazima ubuninkanjni mpya. Hauwezi kuganda tu hapo hapo kwenye elimu ya kusoma darasani au vitabuni
Napinga hoja
. Wamatumbi ni wazembe tuu

Wengi hawana consistency na uvumilivuu

Uchawi ni sisi wenyewe
 
Napinga hoja
. Wamatumbi ni wazembe tuu

Wengi hawana consistency na uvumilivuu

Uchawi ni sisi wenyewe
Hapana mkuu. Ukizama kwa undani utaelewa. Mimi nimesoma economic and finance. Naona gap kubwa sana kati ya yanayofundishwa vitabuni na yanayoendelea mtaani.

Robert Kiyosaki atakwambia acha kazi ukiwa bado kijana chukua pension yako ufanye mtaji wa biashara. Ulaya na marekani hiyo inawezekana. Lakini ukifanya hapa bongo utakutana na mambo ya kikokotoo. Unapewa hela kidogo kdogo, mara sijui ufikishe umri fulani.

Unaweza kuona hapo mazingira yetu hayapo relevant na hizo elimu za darasani na vitabu vya wakina warren buffet
 
Hapana mkuu. Ukizama kwa undani utaelewa. Mimi nimesoma economic and finance. Naona gap kubwa sana kati ya yanayofundishwa vitabuni na yanayoendelea mtaani.

Robert Kiyosaki atakwambia acha kazi ukiwa bado kijana chukua pension yako ufanye mtaji wa biashara. Ulaya na marekani hiyo inawezekana. Lakini ukifanya hapa bongo utakutana na mambo ya kikokotoo. Unapewa hela kidogo kdogo, mara sijui ufikishe umri fulani.

Unaweza kuona hapo mazingira yetu hayapo relevant na hizo elimu za darasani na vitabu vya wakina warren buffet
Yes, ila hakuzuii kutumia njia mbadala

Yes, najua kwa nchi zetu kuna changamoto ila we need to do whatever it takes..

Unaweza hata ku switch carieer
 
Yes, ila hakuzuii kutumia njia mbadala

Yes, najua kwa nchi zetu kuna changamoto ila we need to do whatever it takes..

Unaweza hata ku switch carieer
Yes, ndio maana nikamwambia jamaa ni suala ambalo linahitaji kubadilisha kanuni kila siku. Ukiganda kwenye elimu ya kufundishwa vitabuni utafeli. Elimu ya darasani inaweza kuwa applicable kwenye ngazi za juu mfano ukiajiriwa benki au serikalini lakini huku chini unahitajika kuwa flexible ili utoboe. Kwahiyo kimtaa mtaa elimu nzuri zaidi ni ku-observe yanayoendelea mtaani kuliko kusoma vitabu
 
Yes, ndio maana nikamwambia jamaa ni suala ambalo linahitaji kubadilisha kanuni kila siku. Ukiganda kwenye elimu ya kufundishwa vitabuni utafeli. Elimu ya darasani inaweza kuwa applicable kwenye ngazi za juu mfano ukiajiriwa benki au serikalini lakini huku chini unahitajika kuwa flexible ili utoboe. Kwahiyo kimtaa mtaa elimu nzuri zaidi ni ku-observe yanayoendelea mtaani kuliko kusoma vitabu
Mkuu Kuna madini sana kwenye vitabu, huwezi toka kapa. Na pia applicationsl yake sio kwenye field husika tu ni maisha kwa ujumla
 
Mara nyingi ukitokea kwenye disfunctional family huwa kuna mawili...

1: Unakuwa beast...

2: Unakuwa people pleaser..

Upande wangu niligeuka kuwa pleaser... Na aisee my whole childhood was gone to waste... Iwe home iwe shule sikuwahi kuishi kwa raha maana I was a doormat.

Kinachotokea ni kuwa side effects hazionekani utotoni. Ukiwa mchanga unakuwa mzuri sana kumezea discomfort, unakaa kimya, unafuata maelekezo hata kama hupendi.

Ila ukiwa pleaser na baadae ukaja kujua ukwelii... Unageuka kuwa beast mbaya sana.

Maana unakuwa unajua yaliyo tokea si fault yako ila maumivu yana geuka kuwa chuki kwa dunia... Unaanza kuwa dhuru hata watu wasio na hatia. Na usipo kaa vizuri unakuwa ni mtu wa kusambaza maumivu kwa wengine.

Sasa nimejuwa kuwa kuwa beast au pleaser ni sawa tuu...

Maana beast huumiza wengine akiji please yeye mwenyewe

na pleaser hujiuumiza yeye mwenyewe aki please wengine

I've not seen my Dad for 4 full years and it's been the happiest season of my life. I don't hate him but we've got none in common.

It's funny that people see your worth when they can't access you anymore, but they already done showin you who they truly are.

Na huwa kuna zile dhana makabila na miiko ya ukoo ukiwa mzembe unarudishwa kwenye loop ile ile.
Hii pia inahusika kwa viongozi wetu kwenye mambo mbalimbali?
 
Back
Top Bottom