Kwa mtanzania yeyote aliyebahatika kufika Igunga kwa siku za hivi karibuni atakuwa amegundua ya kwamba mgombea wa CCM ni kama ameshashinda jimbo hilo hata kabla ya kampeni kuanza
Stop there!Kwa mtanzania yeyote aliyebahatika kufika Igunga kwa siku za hivi karibuni atakuwa amegundua ya kwamba mgombea wa CCM ni kama ameshashinda jimbo hilo hata kabla ya kampeni kuanza
ndio maanake usibabaike na jina la kibantu!kumbe ni muhindi
<br />Kwa mtanzania yeyote aliyebahatika kufika Igunga kwa siku za hivi karibuni atakuwa amegundua ya kwamba mgombea wa CCM ni kama ameshashinda jimbo hilo hata kabla ya kampeni kuanza
<br /><br /><br />
<br /><br />
Kumbe ni wewe Makupa siku nyingi sijakusikia ulikwenda kuvua gamba wapi? Umeibukia Igunga we subiri uadhirike.
<br />Kama ndo hivyo acheni kutumia helikopta mnaingia gharama za nini?
<br /><br /><br />
<br /><br />
nipo na kwa taarifa nimerudi kwa kasi ya ajabu