Sijui lolote kuhusu mikopo mkuu. Hii iwe kwa taasisi yeyote ya kifedha ama hata benki yeyoteNi taasisi gani za kifedha zinaweza kukopesha ila kwa collateral ambayo inahimilika kwa kijana ambaye yupo mtaani bila kua na mali kama ardhi, nyumba, shamba, gari n.k.
Mkuu nipe locationa ya biashara ya Matunda.Sijui lolote kuhusu mikopo mkuu. Hii iwe kwa taasisi yeyote ya kifedha ama hata benki yeyote
Kwajinsi dunia inavyo kwenda kwa kasi. Na vile akina sisi tunavyo zidi kuelimika, watu wengi tunakula sana matunda hasa nyakati za jioni. Pia kwakuwa tumekuwa wavivu na pengine tunabanwa na kazi za kujenga taifa, basi tunajikuta hatupati nafasi ya kwenda sokoni kunua matunda.Mkuu nipe locationa ya biashara ya Matunda.
Nenda barabara ya kuelekea makulu, baada ya kupita jengo la BoT na unapo karibia Treasure tower, kuna njia panda inayo elekea kushoto kama unarudi Veta. Pale njia panda kuna boda wengi, taxi bubu kwa wingi, mkuu pale unaweza ukaweka biashara ya kiepe/dume na matunda ukauza vizuri sana. Kumbuka pale pana mzunguko na muingiliano mkubwa wa watu pia wanao tokea jengo la NHIF pamoja na jengo la CAG
Mkuu, kwanza pole kwa kuchelewa kukujibu hapa.Mkuu Ushimen, asante kwa kutoa mwongozo wa fursa zinazopatikana Dom.
Nina mpango wa kufungua duka la cosmetics huko, naomba mwongozo ni mtaa gani unafaa zaidi , ambao ntapata wateja wengi.
Asante
Ahsante, nimekupata mkuuMkuu, kwanza pole kwa kuchelewa kukujibu hapa.
Na kuhusiana na swalilako naomba nianze kwa maelezo yafuatayo:-
Dodoma kuna vyuo vungi sana, na pia wahamiaji wanaingia kwa kasi sana, hivyo hali hii hupelekea muingiliano na mzunguko wa pesa kuwepo kwa kasi.
Kwa ushauri wangu kuhusu aina hiyo ya biashara unayo fikiria kuifungua, unaweza kuifanya popote katikati ya mji hasa maeneo ya kuanzia one way, barabara 1 hadi ya 8, maeneo ya sango na hata maeneo ya 7/7, na kwabisahara yako ukiichanganya na nywele za wadada utapata biashara nzuri chief.
Karibu sana Dodoma
Tupia madini zaidi mkuu..Ahsante sana mkuu
Vipi ulifika jana?Shukrani mkuu,ishaalah nitaanza kesho kufika eneo hilo.
Mkuu, binafsi sina uzowefu kwenye biasara hii.Nafikiria kufungua studio ya picha(photoshoot) na kazi za graphics vipi mkuu eneo gan litanifaa? Je ni biashar itayolipa au? Naomb muongoz wako mkuu
Kwa biashara ya majeneza wap panafaa mkuu@ushimenPole na hongereni kwa kuwa wenye afya njema. Na kwapamoja tuwaombee wale wote ambao wakati kama huu hawana nafasi ya kusoma haya tuliopata pumzi ya bure na tukayasikia, kuona, kusoma na kuchangia.
Kwakuwa Mungu wetu ni mwema, basi yote kwake ni mema pia.
1. Ungekua Dom ningekupa wazo/location ya biashara ya chipsi dume, na ninahakika hapa ungeweza kupata faida isiyo punguwa 10 elfu per day, kwa mtaji usio zidi elfu 300.
2. Pia ningeweza kukupa wazo/location ya biashara ya majeneza ambapo ungeweza pata faida isiyo punguwa 100 elfu kwa kila wiki kwa mtaji usio zidi elfu 1,200.
3. Na ningekupa wazo/location yenye ungefanya biashara ya matunda kwa mtaji usio zidi 400 kwa kupata faida isiyo punguwa 12 elfu daily.
4. Alafu ninge kupa wazo/locations kadhaa ya kufanya biashara ya shoe shine/kusafisha viatu kwa mtaji usio zidi 100 elfu na ukapata faida isiyo punguwa 5 elfu kila kukicha.
Ebu ngoja nimalizie kwanza hii whatever-Vant, then kesho nitakuja na mawazo mengine kwenye muendelezo.
Mkuu, kwanza nikuombe radhi kwa kuchelwa kujibu hoja yako na kama ujuavyo jana ilikuwa oyaoya pale Pestana, hivyo kidogo nilichelewa kulala sababu ya whatever-Vant...Mkuu Ushimen nahitaji kufungua biashara ya mini supermarket hapa dodoma, ni maeneo gani kwa uzoefu wako yanafaa kwa hii biashara.. Natanguliza shukrani
Unataka mkoa gani mkulu ?Toa na mikoa mingn mkuu
MoroUnataka mkoa gani mkulu ?