Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,101
Binafsi nimeshawahi kususiwa wanawake wanne kwa nyakati tofauti ila ndoa ilinikosakosa kama Mbappe alivyokosa penati jana!
Binafsi mbinu nazotumia kukwepa ndoa hizo za dharura ni kuwapokea kwanza bila kuleta ubishi na baada ya hapo ni kupiga matukio hadi anasepa mwenyewe
Vipi wewe ulishawahi kukutana na changamoto kama hii na ulitatua vipi ndoa za lazima?
Binafsi mbinu nazotumia kukwepa ndoa hizo za dharura ni kuwapokea kwanza bila kuleta ubishi na baada ya hapo ni kupiga matukio hadi anasepa mwenyewe

Vipi wewe ulishawahi kukutana na changamoto kama hii na ulitatua vipi ndoa za lazima?
