toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Haya mambo yanatokea sana
Niwape kisa kimoja kilitokea kwangu
Ilikua ni siku moja ambapo jirani yetu mmoja aliua kuku wetu kisha akaja kumtupa nje getini kwa dharau kwamba ameua!
Nyumbani hawakuwepo hata mtu mmoja
Nikamuuliza kwanini kafanya hivyo akanijibu kwa hasira kwamba hata mm anaweza kuniua kama huyo kuku
Kipindi hicho nilikua na miaka 17 tu nilihisi hasira utadhani kuna kitu nilikua nimekula
Niliingia ndani nikitetemeka kwa hasira nikitafuta panga maana hasira zilinituma nimuue tu...sijui kwanini
Niliangaza macho sikuona panga....Nikakuta mpini wa jembe nikatoka nao nje nikamwambia sasa aniue sasa
Jamaa alivyoona nimechemka akaacha kufikiria kupigana na mimi badala yake akaanza kunitusi na mama yangu
Nilimvaa nikaanza kumpiga sana na ule mpini wa jembe nilimpiga shigoni akaanguka pale pale......Nikajua nishafanya mauaji..watu walianza kujaa pale nilihisi nimeshaua nikaingia nikafunga geti nikajichimbia ndani
Kumbe alikua hajafa alikuja kuzinduka pale akaanza kujaribu kuleta fujo watu wakamkamata, sasa kutokana na kuwa na rekodi mbaya na ule mtaa na kwa kua ni mtu wa kuja alipewa wiki tu awe amehama
Mwisho alikuja kuhama ila tukawa tukikutana hatuongei huku mitaa ya pili hadi alipofariki mwaka jana
Nina visa vingi sana nitashare humu...hebu tuambie kwako ilikuaje hadi ukapigana?
Niwape kisa kimoja kilitokea kwangu
Ilikua ni siku moja ambapo jirani yetu mmoja aliua kuku wetu kisha akaja kumtupa nje getini kwa dharau kwamba ameua!
Nyumbani hawakuwepo hata mtu mmoja
Nikamuuliza kwanini kafanya hivyo akanijibu kwa hasira kwamba hata mm anaweza kuniua kama huyo kuku
Kipindi hicho nilikua na miaka 17 tu nilihisi hasira utadhani kuna kitu nilikua nimekula
Niliingia ndani nikitetemeka kwa hasira nikitafuta panga maana hasira zilinituma nimuue tu...sijui kwanini
Niliangaza macho sikuona panga....Nikakuta mpini wa jembe nikatoka nao nje nikamwambia sasa aniue sasa
Jamaa alivyoona nimechemka akaacha kufikiria kupigana na mimi badala yake akaanza kunitusi na mama yangu
Nilimvaa nikaanza kumpiga sana na ule mpini wa jembe nilimpiga shigoni akaanguka pale pale......Nikajua nishafanya mauaji..watu walianza kujaa pale nilihisi nimeshaua nikaingia nikafunga geti nikajichimbia ndani
Kumbe alikua hajafa alikuja kuzinduka pale akaanza kujaribu kuleta fujo watu wakamkamata, sasa kutokana na kuwa na rekodi mbaya na ule mtaa na kwa kua ni mtu wa kuja alipewa wiki tu awe amehama
Mwisho alikuja kuhama ila tukawa tukikutana hatuongei huku mitaa ya pili hadi alipofariki mwaka jana
Nina visa vingi sana nitashare humu...hebu tuambie kwako ilikuaje hadi ukapigana?