Lafacha
Senior Member
- Feb 3, 2017
- 193
- 267
Hii mambo acha kabisa.
Nakumbuka siku iyo nimetoka zangu shule kufika home mtoto (kike) wa nyumba pili akanikoroga bhana.
Nikamfua kinoma akaja Dada yake si mkubwa saana, tukaleteana shida ila wakawa wananizidi nguvu wote wawili(wananichangia).
Nikaingia ndani, nikachukua tambariko(ile ya kusongea ugali) ni ile ya kukanyaga ndo usonge achana na izi za kushika kwa mkono mmoja.
Nikatoka nayo nimevimba kinoma, si nikawakuta bado wapo nje wanashanga shangaa. Nikawashona nayo ikawa ni kilio tu apo mtaani.
Sas kumbe bro wao alikua yupo bhana, si nikajisahau niko zangu nimesimama ukutani jamaa sijui alitokea wapi aisee.. daaah!! Aliruka ilo teke mzee si mchezo nikaunganishwa na ukuta baba ako. Mbaya zaidi ukuta ulikua umepigwa puching. 🥺🥺🥺
Nakumbuka siku iyo nimetoka zangu shule kufika home mtoto (kike) wa nyumba pili akanikoroga bhana.
Nikamfua kinoma akaja Dada yake si mkubwa saana, tukaleteana shida ila wakawa wananizidi nguvu wote wawili(wananichangia).
Nikaingia ndani, nikachukua tambariko(ile ya kusongea ugali) ni ile ya kukanyaga ndo usonge achana na izi za kushika kwa mkono mmoja.
Nikatoka nayo nimevimba kinoma, si nikawakuta bado wapo nje wanashanga shangaa. Nikawashona nayo ikawa ni kilio tu apo mtaani.
Sas kumbe bro wao alikua yupo bhana, si nikajisahau niko zangu nimesimama ukutani jamaa sijui alitokea wapi aisee.. daaah!! Aliruka ilo teke mzee si mchezo nikaunganishwa na ukuta baba ako. Mbaya zaidi ukuta ulikua umepigwa puching. 🥺🥺🥺