Ushawahi Kupendwa Mpaka Ukawa Unahisi Kero?

Ushawahi Kupendwa Mpaka Ukawa Unahisi Kero?

Holoholo-Baba Kijacho

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
6,977
Reaction score
14,482
Wakuu
Katika maisha ya mahusiano tunapitia mengi,unaweza ukapendwa sana mpaka ukawa unahisi ni kero sasa

Mtu kila saa anakutafuta,anakutumia text,anakupigia,ukimjibu au ukichelewa kumjibu anakulaumu na "mbona kimya" zinakuwa nyingi

Hali hii mimi binafsi huwa siipendi na ikitokea mwanamke wa namna hii basi nampiga chini haraka sana,siwezi kuwa saa niko na simu tu nachati au naongea na wewe kama nimekosa kazi ya kufanya.

Nimeachana na first11 ya wanawake dizaini hii.

Usawahi kudate na mdada au mwanaume wa namna hii? Hali ilikuwaje,ulikabiliana nae vipi na mahusiano yako bado yapo?
Cc Binti Sayuni03
 
Kuna huyu anaenitongoza mpk hapa ameshakuwa unqualified.. yaani ana kera hajali hata umelala saa 7 anapiga Simu.. muda wa kazi masimu ma sms kama ananidai figo yake..

Hayo mapenzi ni ya under 25 sie wazee hatuyawezi masimu ma sms kama nina damu yake siweziii
 
Unamaanisha mapenzi ya dizaini hii au?
1000061784.jpg
 
Wakuu
Katika maisha ya mahusiano tunapitia mengi,unaweza ukapendwa sana mpaka ukawa unahisi ni kero sasa

Mtu kila saa anakutafuta,anakutumia text,anakupigia,ukimjibu au ukichelewa kumjibu anakulaumu na "mbona kimya" zinakuwa nyingi

Hali hii mimi binafsi huwa siipendi na ikitokea mwanamke wa namna hii basi nampiga chini haraka sana,siwezi kuwa saa niko na simu tu nachati au naongea na wewe kama nimekosa kazi ya kufanya.

Nimeachana na first11 ya wanawake dizaini hii.

Usawahi kudate na mdada au mwanaume wa namna hii? Hali ilikuwaje,ulikabiliana nae vipi na mahusiano yako bado yapo?
Cc Binti Sayuni03
Umenikumbusha bibie mmoja hata akitaka kulala hawezi kulalia mto ni lazima alalie kifua.
 
Kuna huyu anaenitongoza mpk hapa ameshakuwa unqualified.. yaani ana kera hajali hata umelala saa 7 anapiga Simu.. muda wa kazi masimu ma sms kama ananidai figo yake..

Hayo mapenzi ni ya under 25 sie wazee hatuyawezi masimu ma sms kama nina damu yake siweziii
Vipi ushampata wa kukupa pesa? 😹😹
Au ndio yule akijisikia kukuzagamua anakuita na kukubebisha 🤣
 
Back
Top Bottom