Ushauri

Ushauri

Push him baby....mpaka aseme kitu....Mwanaume,mwanamke wako kuna mtu anammendea harafu unanyanyua mabega akimpata utalalamika?Noma....
Kama sikosei hata huyo Ex..,kashaona kuna gap(udhaifu)kwa mume..wakati mwingine..kujiamini kwa mwanamke na kuwa na msimamo kuna changiwa na mwaume mwenyewe...sasa huyo wa kunyanyua mabega kwa kweli...

Sasa wewe hapo unakuwa umebaki peke yako....kwenye kufanya maamuzi.Sio kipimo kizuri.Na huyo jamaa Ex,sio kwamba anakujua zaidi ya wewe unavyo mjua anaona kuna uwezekano one day unaweza kudhoofika akapata anacho taka..so mume lazima awe strong kuonyesha anakupenda yuko tayari kukutetea...akiacha na mabega yake Ex..anaweza kukupata..

Nakuunga mkono kabisa mke wako anakuomba ushauri afanye nini ili former boyfriend aache kumtumia message za kimapenzi halafu unanyanyua mabega? 😕

Alitakiwa aseme chochote kukaa kwake kimya mimi sikuelewi hata kidogo. Je, huwezi kuomba kubadilisha namba yako kutokana na usumbufu unaopata toka kwa huyo jamaa?
 
.....

Sijui mahusiano yenu yakoje, labda ndivyo mnavyoishi, au mumeo anaona akianza kukasirika ipo siku utagundua madhambi yake na wewe utakasirika, hivyo anataka siku ukigundua madhambi yake wote muwe sawa.[/QUOTE]

Yani DK kama hapo ulipo BIG five, nadhani hio ndo sababu yake yakujitia kupandisha mabega ili iwe kama ngoa yake hapo baadae. Thanks so much uminishutua mshipa wa fahamu sasa. Ciao
 
Try this and it will work out:

Nenda kwa kampuni ya simu ambayo wewe unaitumia, wape namba ya simu ya huyo (EX-BF) na waambie wai-block isiingie kwenye simu yako. Waambie kwa nini unataka ku-block, na wata-iblock hukohuko kwenye network yao. Akitumia namba nyingine do the same.

Alternatively, mpe karipio kali kwamba utamfikisha kwenye vyombo vya usalama.

Thanks so much my dear for your comments. Will try your option.
 
Ilikuchukua muda gani kabla hujamfahamisha mumeo, isije ikawa ulipoona uta shikwa ndo uliamua kumjulisha.

Ilinichukua kama two weeks hivi, ndo ikabidi nimwambie. Nilijaribu kwanza kufanya kama mlivyoniagiza kubadilisha no. na kumkanya vile vile.
 
Nakuunga mkono kabisa mke wako anakuomba ushauri afanye nini ili former boyfriend aache kumtumia message za kimapenzi halafu unanyanyua mabega? 😕

Alitakiwa aseme chochote kukaa kwake kimya mimi sikuelewi hata kidogo. Je, huwezi kuomba kubadilisha namba yako kutokana na usumbufu unaopata toka kwa huyo jamaa?

Kaka, hapo mwanzo kabla sijaolewa nilipokuwa huko nilishabadilishaga no. yangu mara tatu hivi. Lakini alikuwa akizitafuta mpaka anazipata! Mwishoe ili bidi nimpe kaka mmoja alikuwa rafiki wa kawaida tuu ajifanye kama ndo boyfriend wangu. Basi akaongea naye na kumtaarifu asinifatefate mimi ni girlfriend wake, then ndo akaa kimya sasa. Ambapo na Mr. angefanya hivyo natumaini ingesaidia sana.
 
huyo jamaa anastahili kupigwa na kuvunjwa miguu...ni nini haswa anataka kutoka kwako? na je mlipoanza mawasiliano tena were you leading him ama ulikuwa strict toka mwanzo? Maana unaweza kuwa ulikuwa una'flirt' nae at first and when things started to get serious you decided to back off!

Regardless ni kwamba wewe msimamo wako anaufahamu na mumeo umeshampa taarifa husiana na hilo, kama kakaa kimya akiangalia kutaka jua wewe utachukua uamuzi gani na wewe unaona xya kwamba huyo jamaa ni kichwa ngumu wala hataki kukusikiliza basi unaweza lifikisha hilo suala katika vyombo vya usalama ili wachukue hatua husika.

Ila suala la kubadili namba ya simu sidhani kama ni ufumbuzi maana kutokana na maelezo yako hayo hapo hujasema alipataje namba yako ya simu mpya (inaonekana ulibadilisha namba kabla ya kuolewa ama mara baada ya kuolewa). Je alipewa na wewe ama kuna mtu alikusaidia kumpatia.

Inabidi uchukue hatua madhubuti maana huchelewi kuishia kubomoa nyumba yako changa... Kimya cha Mtu kina maana nyingi sana!
 
Ilinichukua kama two weeks hivi, ndo ikabidi nimwambie. Nilijaribu kwanza kufanya kama mlivyoniagiza kubadilisha no. na kumkanya vile vile.

Sasa hebu tueleze, Ulimwabia sababu aliuliza kiini chako kubadilisha no. Ama hata hakuulizia kwanini unabadilisha no. yako?

Sijui lakini naona pana kitu hukisemi!
 
Sasa hebu tueleze, Ulimwabia sababu aliuliza kiini chako kubadilisha no. Ama hata hakuulizia kwanini unabadilisha no. yako?

Sijui lakini naona pana kitu hukisemi!

Mi nakubaliana na Namtih58 kuna kitu hujatuambia hapa.
 
Lorain pole sana ila namimi kama wachangiaji waliotangulia naendelea kumshangaa huyu Mr. samahani kama nitakukwaza lakini sidhani kama mume kweli mwenye mapenzi kwa mkewe anasikia kunalijamaa linamnyemelea wife yeye atapandisha mabega!! nahisi shem wetu anaupungufu fulani ndio maana ata XBf amepata mwanya wakukusumbua anajua kama akikaza buti atakupata,naamini huyu X uponae karibu kimtindo tofauti na unavyotueleza hapa au inawezekana hii story umetupatia nusu hainajakamirika kuna vitu umemiss kama si hivyo asingeweza kuwa jasiri nakutuma sms kwa mke wa mtu bila hofu nimtu ambae anafahamu udhaifu wa mume wako nandio maana hakupata shida kupata simuno yako.

Ushauri wangu jitoe kimasomaso mpigie uyu Xbf wako na umweleze kuwa uko mbioni kumchukulia hatua za kisheria endapo ataendelea kukutumia sms kwani hana nia njema kwako anachotaka nikukuvurugia ndoa yako kisha aingie mitini angekuwa mume angekuwowa mwanzo.
 
Sasa hebu tueleze, Ulimwabia sababu aliuliza kiini chako kubadilisha no. Ama hata hakuulizia kwanini unabadilisha no. yako?

Sijui lakini naona pana kitu hukisemi!

Nilimweleza na badilisha sababu ya huo usumbufu siutaki. Then akajibu Ok na kukaa kimya bila nyongeza yoyote. Ila tayari jamaa alishaipata tena NDO MAANA NIMEKUJA KUULIZA NIFANYE NINI SASA NIMECHOKAAAAAAAAAAAAAAAAA! EH!
 
Lorain pole sana ila namimi kama wachangiaji waliotangulia naendelea kumshangaa huyu Mr. samahani kama nitakukwaza lakini sidhani kama mume kweli mwenye mapenzi kwa mkewe anasikia kunalijamaa linamnyemelea wife yeye atapandisha mabega!! nahisi shem wetu anaupungufu fulani ndio maana ata XBf amepata mwanya wakukusumbua anajua kama akikaza buti atakupata,naamini huyu X uponae karibu kimtindo tofauti na unavyotueleza hapa au inawezekana hii story umetupatia nusu hainajakamirika kuna vitu umemiss kama si hivyo asingeweza kuwa jasiri nakutuma sms kwa mke wa mtu bila hofu nimtu ambae anafahamu udhaifu wa mume wako nandio maana hakupata shida kupata simuno yako.

Ushauri wangu jitoe kimasomaso mpigie uyu Xbf wako na umweleze kuwa uko mbioni kumchukulia hatua za kisheria endapo ataendelea kukutumia sms kwani hana nia njema kwako anachotaka nikukuvurugia ndoa yako kisha aingie mitini angekuwa mume angekuwowa mwanzo.

Thanks alot, but this too Njembaz hazijuani kabisaaaaa hio naamini. Nadhani kuna mtu (one of my cousin husband) is the one doing this. Nimejaribu kuuliza akaniambia hajampa, nasiwezi kung´ang´na kwamba die yeye aliyempa no evidence with that. Well ningumu kidogo but will try my best from the mawazo niliyopata kwa wana JF. Asanteni sana kwa msaada wenu.
 
Loraine mie nataka kujua ni kwanini ulifunga ndoa bila kumwarifu kuwa mchezo sasa basi? Je mliahidiana nini wakati mkiwa ma-friend? Hawezi tu kupata guts kiasi hicho kama hukumpa ahadi au makubaliano fulani.
 
Lorain…huyo dawa yake ndogo..ukishidwa kubadili number/kumblock we mchunie tu, yaani unauchuna mpaka mwenyewe anajiona mpumbavu.. ukiona tu message kutoka kwake una delete, yaani wala hata usizisome…delete tu..halafu endelea na maisha yako.

Maadamu umeshamweleza mumeo umwambie pia na effort ulizofanya na unazofanya kukabiliana na hilo, ili hata siku message ikiingia simu ikiwa ikiwa mikononi mwake asikulaumu, hata kama akiendelea kupandisha mabega mwambie tu…
 
Loraine mie nataka kujua ni kwanini ulifunga ndoa bila kumwarifu kuwa mchezo sasa basi? Je mliahidiana nini wakati mkiwa ma-friend? Hawezi tu kupata guts kiasi hicho kama hukumpa ahadi au makubaliano fulani.

Ndugu mpendwa, naomba nieleweke vizuri tena. Huyu bwana toka nimeachana naye na mda wa miaka minne sasa. Natoka tumeachana hamna hata siku nilirudisha hisia zangu kwake tena. Na nilimtaamkia tena kwa herufi kubwa "MIMI NA WEWE IMEKWISHA", ila yeye hakuwa tayari kupokea maneno haya. Ndo akabakia kunipigia nakunitumia sms kila mara, nikibadilisha simu anahakikisha anaipata ile no. tuu.
 
Lorain…huyo dawa yake ndogo..ukishidwa kubadili number/kumblock we mchunie tu, yaani unauchuna mpaka mwenyewe anajiona mpumbavu.. ukiona tu message kutoka kwake una delete, yaani wala hata usizisome…delete tu..halafu endelea na maisha yako.

Maadamu umeshamweleza mumeo umwambie pia na effort ulizofanya na unazofanya kukabiliana na hilo, ili hata siku message ikiingia simu ikiwa ikiwa mikononi mwake asikulaumu, hata kama akiendelea kupandisha mabega mwambie tu…

Asante sana ndugu yangu, ushauri wako nimeupokea na nitaufanyia kazi. Ubarikiwe sana.
 
Nilimweleza na badilisha sababu ya huo usumbufu siutaki. Then akajibu Ok na kukaa kimya bila nyongeza yoyote. Ila tayari jamaa alishaipata tena NDO MAANA NIMEKUJA KUULIZA NIFANYE NINI SASA NIMECHOKAAAAAAAAAAAAAAAAA! EH!

Samahani dada, kama kuchoka kwako, nikutokana na maswali yetu.
Kama ni kotokana na swala lako basi pia usichoke ikiwa unaidhamini ndoa yako.

Ilinichukua kama two weeks hivi, ndo ikabidi nimwambie. Nilijaribu kwanza kufanya kama mlivyoniagiza kubadilisha no. na kumkanya vile vile.

Wajua ndo mtu kutoa ushauri, inabidi kujieka kwenye hali ya mwenzake. Sasa kama ulivyoandika, ilikuchukua kama wiki mbili kabla hujamwambia, hapo mbeleni ulijaribu kama ulivyo agizwa na wanaJF kama kubadili no.

Sasa najiuliza ningekuwa huyo mumeo, halafu mke wangu abadilishe no. yake singetaka kujua ni kwa nini? Na kama nisipouliza ni kwanini basi kuna kitu kitakachokuwa kumenifanya nisijishugulishe na anachofanya mke wangu. Kama hii ni kweli basi shida zako si za huyo EX wako peke yake, bali kuna mengine mumeo hakwambii hadi imefika kuwa hana interest!

Either pengine alishuku kwa kuwa aliona kama asingekuuliza basi hungemwambia, na hapo pengine yeye anakuchunguza kivyake kuona kama ulivyomwambia ni kweli [Maoni tu].

Ikiwa ni mimi sikukuelewa hapo juu na ulimjulisha kabla ya kubadilisha no. na yeye kasema tu OK, basi kama walivyo sema wengine humu, kunacho hakuambii mumeo! Itakubidi kukaa nae muongee kwani inaonekana unamengi yakubeba zaidi ya huyo Ex. wako.
 
Asante sana ndugu yangu, ushauri wako nimeupokea na nitaufanyia kazi. Ubarikiwe sana.

Ukiufanyia kazi ushauri wa ndugu yetu pia usisahau UKIMYA wa mwenza wako. Unapo-present kitu kwa mtu wa karibu (mfano mume), then receiver (mfano mume) akakaa kimya HAPA kuna maana nyingi sana.
 
Unajiongopea Dada,

Mumeo kupandisha mabega,sio kwamba hajali, ila ni kupima uzito wa mapenzi yako kwake na dhahili hapo,take it from me (i had been there once) wewe huna uhakika licha ya kwamba umeolewa na huyu Bwn. mapya(mumeo).
tafuta muda ufikiri na usifate nini akiri inakuambia some where in your heart there may be some thing you still feel kwa ex-.
Sasa kwabla ya mambo kukuendea vibaya (which i bealive they will) unless utafute njia ya kuondoa hizo feelings za huyo jamaa wa zamani,kwani yuko hapo na msgs zake kukuharibia,huwezi kumpenda mke wa mtu alafu tena alikua wako wa zamani nia hapo ni kuchafua.
Achana nae,
Mpende zaidi mumeo kwani anaonyesha mstaarabu kwa kiasi cha juu.Nyie wanawake wa siku hizi hamatabiriki anaweza kuanza kumsemea ovyo huyo jamaa alafu siku ya pili wewe na huyo ex- mnaajivinjari nyuma ya mgongo wake,yametokea sana na yanatokea kila siku.
Nakubaliana nawe Mr. Bauer.

Mume wa huyo dada yetu ni mtu makini na mwenye taadhari ya hali ya juu.Kabla ya kucomment anasoma alama za nyakati.Dada yetu muhusishe zaidi katika kila utakalofanya mumeo kuhusu huyo Ex wako.

Lorain:
Ushauri wangu ni wewe kubadili namba yako ya simu baada ya kumweleza huyo Ex wako kuwa huhitaji mawasiliano na/au mahusiano yeyote naye ukiwa UNAMAANISHA.

Lastly,jitazame upya uhusiano wako na huyo Ex wako.Sote tunaheshimu ndoa na hata wale wanaotongoza wake au waume za watu,wanafanya hivyo KWA KUWEPO MAZINGIRA yanayowasukuma kufanya hivyo.ANGALIA MAZINGIRA YAKO.
 
ni wanaume wachache wanaopenda kufahamu background za wenzi wao na huwa zinatuudhi.Naamini kukaa kwake kimya ameudhika.Kaa nae upate msimamo wake muone kama mwaweza kushirikiana kulimaliza tatizo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom