Wana jf i xpect to get ur advice though am a new member to this site nina gf wangu nampenda na tumeaidiana kuoana badae na kaniambia ye n virgin so suala la sex mpaka tuoane nina wasiwasi naye kwan nilipokuwa o-level niliwahi kupata gf wa aina hyo na tukawa na mipango mizuri cha kushangaza baada ya kukaa naye kwj miaka miwili bila kusex akamkubalia mtu mwingine na wakasex baada ya miezi mitatu nahc na huyu atafanya hivyo nikimsubiri. Naomben ushauri wenu.