Ushauri: Zitto Kabwe aongezewe ulinzi

Kasuku mmekamatwa makalio wapigaji wa kodi zetu msiopenda kukaguliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hofu usiri wa nn kama ni Kwa manufaa ya umma,je haina harufu ya upigaji,maana twaambiwa ni cash ya ndani kuna ibuka Ishu za mikopo.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu aongezewe ulinzi kutoka wapi? Kutoka serikali hii hii ya Magufuli yenye genge la wauaji hatari?
Kama kuna uwezekano akodi ulinzi binafsi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku ukija kujua zitto ni mtumishi wa umma... na ana foji haya anayo yafanya sijui uta muita msaliti kwa Mara nyingine??

hahahahaha... kila siku tuna piga kelele humu lakini watu hawaelewi wamegoma kufikiria kabisa...

Mentally slaves...
 
Kuna mafundi hatari sana kule kigoma yaani ukimvizia hotelini unakuta bahari
 
Zitto hakusema kalishwa Sumu bali alipata food poisoning baada ya kula chakula chenye Ecoli sasa unageuza.
Kuna Threads humu kabla hata hujajiunga zinahusu sakata la ugomvi wa kina ben Saanane vs Zitto.
 
Alindwe vipi wakati hao walinzi ndio wauaji wasiojulikana
 
mpeni Red Brigades
 
Hawamuwezi kwa lolote,Kapikwa huyo,kachanjia vidono risasi haingii.
 
Kuna Threads humu kabla hata hujajiunga zinahusu sakata la ugomvi wa kina ben Saanane vs Zitto.
Au Zitto wako wawili au ni huyuhuyu ambae hata magazeti yalikuwa yakimuandika
 

Una tatizo la macho nini mkubwa?

Huko shuleni ulikosoma, mwalimu aliyekufundisha kuandika insha (essay) kwa herufi kubwa (uppercase) anapaswa kunyang'anywa leseni ya ualimu wake!!

Amekuambukiza ujinga nawe unausambaza kwenye jamii bila hata kujua!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…