jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,375
- 25,453
Mkuu wapinzani wanaishi kimachale sana! Nimeshuhudia mwenyewe! Mfano Mbowe mwenyewe hata kula hali hovyohovyo nk. Kuna jamaa alisema aliwahi kuwashuhudia kina Lissu huko Mwanza wakati wa kula wakiibadilishana vyakula na vinywaji! Kwahiyo mbali na kuongezewa ulinzi, wenyewe tayari wanaishi kama ukimbizini! Nimeshuhudia mwenyewe nikashangaa sana! Kwakweli mh Mbowe ana nafasi yake kwenye historia ya hii nchi!Naunga mkono hoja kwani Zitto amekuwa ni mwiba mkubwa katika kupambana na hii serikali ya majizi, mafisadi na WAUAJI ambao wanaweza kabisa kupanga kuchukua uhai wa huyu mwenzetu katika upambanaji.