VAPS
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 5,611
- 13,160
Kwa kuwa inasemekana upimaji ni garama kubwa!
Tutumie vijana wetu Chuo cha ardhi,wakienda field wafanye master plan ya awali kila kijiji,tutumie hata karatasi za A4 @20tzs na manila 200 pia wawape elimu viongozi mitaa vijiji vipimo Barbara na nyumba makazi.
Watanzania wakielimishwa hususani vijijini wanaheshimu sana kanuni na taratibu.Mfano vijiji Kagera,Kilimanjaro na Mbeya.
Tupunguze aibu ya miji ya hovyo na michafu Siku za usoni.
Tutumie vijana wetu Chuo cha ardhi,wakienda field wafanye master plan ya awali kila kijiji,tutumie hata karatasi za A4 @20tzs na manila 200 pia wawape elimu viongozi mitaa vijiji vipimo Barbara na nyumba makazi.
Watanzania wakielimishwa hususani vijijini wanaheshimu sana kanuni na taratibu.Mfano vijiji Kagera,Kilimanjaro na Mbeya.
Tupunguze aibu ya miji ya hovyo na michafu Siku za usoni.