Ushauri wenu wakuu

na watu wa mathe wasome nini?
umeomba ushauri nimekupa ushauri mzuri nimefanya interview zaid ya 10 nature ya mtihani ndiyo hiyo ,ila unaoneka ni mtu ambaye hautaki kuamini unauliza maswali ya kijinga sana kwamba mtu wa mathe asome nini , sawa utakapotoka kwenye interview nadhani utakuja kuleta ushuhuda na kama umesoam law esabu inaweza kuwa shida kwako
 
Povu kubwa.

Sasa job description haindenani na hesabu, kwanini nisome hesabu?
Doesn't sound reasonable.
 
Povu kubwa.

Sasa job description haindenani na hesabu, kwanini nisome hesabu?
Doesn't sound reasonable.
Maswali ya hesabu yapo hasahasa kwaajili ya logic/reasoning
 
Povu kubwa.

Sasa job description haindenani na hesabu, kwanini nisome hesabu?
Doesn't sound reasonable.
acha ujuaji jamaa , ok sawa soma iyo job description kama utakuta hata swali moja na ukitoka kwenye usaili nadhani lazima utakuja kukumbuka ushauri wangu
 
That’s nice… I wish I could be much braver than you, but I like small holes because they’re hard to penetrate.. 👌
Lol i know what u did here! Don’t exaggerate things😁

Don’t forget am available for heists😬
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…