mm naonaga mtu kabla ya kuanzisha uzi za namna h n bora na kuanza kwa kutafuta kwenye majukwaa kama la kwanini utumishi wanachelewa kuita watu kazini, mana huko kuna kila aina ya majibu hayo
Hello Fazulo ni pm email yako nikutumie maswali na majibu ya NIDA registration officer pekee
Na kwa yeyote mwenye huitaji pia pm email yako
Sijafunga kiongoziFungua pm
Naona imefungwaSijafunga kiongozi
kwa nature ya mitihani ya hivi karibuni asilimia karibu 60-70 ni maswali ya kada lakni yanayobaki ni mchanganyiko wa general knowledge utaweza kukuta maswali ya hesabu, IT, science na english hata general knowledge ya nchi yako , jitahidi upitie hesabu na maswala mengine kama nilivyoyataja kwa sababu ukiweza kuyajibu hayo uwezekano na kuwa selected ni mkubwa ,competition ni kubwa piaHabari za asubuhi JF members.
Nisiwachoche, niende moja kwa moja kwenye hoja.
November mwaka jana (2025), niliomba kazi Ajira Portal kwa mara yangu ya kwanza. Kazi niliyoomba ni REGISTRATION OFFICER II - NIDA.
Nilikuwa naisubiria anzia January mwaka huu hola hadi kufikia ijumaa iliyopita ndio nikaona Email ya kuitwa kwenye usaili tarehe 23 May 2026 yaani Jumamosi ya wiki hii.
Wakuu nimesota kitaa kuanzia January hadi sasa bila mchongo, hii fursa sitaki kuikosa.
Nina degree ya Sheria (LLB)
Wanaohitajika kwenye hiyo nafasi ya Registration officer ni watu 50.
Ushauri;
Je, nitegemee maswali gani kwenye written interview? ( inafanyika online)
Naombeni mnipe na Code zingine kwasababu ndio mara yangu ya kwanza kwenda kwenye job interview.
Ahsanteni, napokea maoni, mawazo, ushauri na pia MTU MWENYE FURSA ZINGINE. 🙏🏾
Hesabu? 🤣kwa nature ya mitihani ya hivi karibuni asilimia karibu 60-70 ni maswali ya kada lakni yanayobaki ni mchanganyiko wa general knowledge utaweza kukuta maswali ya hesabu, IT, science na english hata general knowledge ya nchi yako , jitahidi upitie hesabu na maswala mengine kama nilivyoyataja kwa sababu ukiweza kuyajibu hayo uwezekano na kuwa selected ni mkubwa ,competition ni kubwa pia
cha mwisho lower your expectations
tena hiyo kazia kabisa mambo ya probability, ratio, age problems kiufupi soma esabuHesabu? 🤣
na watu wa mathe wasome nini?tena hiyo kazia kabisa mambo ya probability, ratio, age problems kiufupi soma esabu
allynuru07@gmail.com nicheckNaona imefungwa
Done
Thank you. I can't open the file, it needs to request access, why?Done