ndege wafananao hutembea pamoja.... hukupaswa kumwita mzazi mwenzio "MALAYA",umejiumbia gadhabu mwenyewe....umalaya wa mwanamke husababishwa na wanaume.....so uliamua kuishi na malaya mwenzio......toka lini malaya akawa na mda na mtoto......mwezio kuzurura wewe umemtafutia hg......una hakika gani mtoto ni wako???....kama ulijua ni makahaba mmekutana kinga hamkujua zinapatikana wapi?,,,, unalilia lia kishori hapa eti matumizi yote nampa,,,, mamako mara ya mwisho kumnunulia hata upande wa khanga ni lini.????....kuwa mwanaume bro.....tulia tafakari umetoka wapi na unataka kuwa wapi.........kabla hujabwatuka fanya uchunguzi wa kisayansi ujiridhishe huyo ni mwanao....then njoo hapa jf upewe mbinu za kiume zilizokomaaaa....pole sana B40...