I didn't mean that, virgin nemsema kwa kuwa sijawahi kuwa na mahusiano yyte, its my first time and my planning is to have a marriage before sex, your advise plz
Asante madam, hua sipretend nikikasirika, anajua kabisa nimekesirika na anaomba msamaha, ila mimi nashindwa kuwa na moyo wa kusamehe haraka na kusahau, sas hiyo hali inatukosesha amani kila mara, wakati akinikosea siwezi kumwambia hapa umenikwaza nabak nikiumia tu moyoni, hii hali inanitesa sana
Mruhusu aitoe hiyo bikra. Mapenzi yenu yatakuwa ya Amani.
Mwanamke kabla hujamgonga anasumbua sana.
sasa si ungesema tu hujawahi kua na mahusiano?I didn't mean that, virgin nemsema kwa kuwa sijawahi kuwa na mahusiano yyte, its my first time and my planning is to have a marriage before sex, your advise plz
No, laki sio hela ni jina tu. Sipo tayar kufanya mambos kabla ya ndoa kwani nimejodhatiti kweli na namshukuru Mungu nimejitunza mpaka hapa nilipo. naomba ushauri mwingine tafadhal. thanks
Thanks, ila nimedhamiria kumruhusu after marriage.
Hebu kaitoe hiyo bikira hata kwa kisu
Inakudumaza akili, mama mzima unabehave like 13?
Miaka 27 ni mtu unafaa hata kuwa kiognozi wa nchi wewe unashikilia bikra mbele kama ngao ya taifa?
Kwa ufupi, wala humkosei huyo bf wako, ni yeye anakukosea, afu ukianza kulalamika ana-play victim, na kwa sababu hujielewi unadhani unamkosea.
Grow up Woman!
kwani bikira nayo ni issue siku hizi????:yell:Kwanini ulianza kwa kusema you are a virgin?
unahisi wewe kua virgin ndio chanzo cha matatizo?
Mimi ni msichana wa miaka 27, sijawahi kushiriki tendo la ndoa maisha yangu( am a virgin), sasa nimeanza mahusiano ya mapenz na tunapendana sana na mwenzangu. Tatizo sijui nina nini maana mara nyingi tukitofautiana mwisho mimi ndo naonekana nina makosa, naumia sana ninavymkosea kila mara na kwa upendo wake wa dhati ananisamehe, naombeni ushauri wenu nahisi kama kuna uwalakini kwenye haya mahusiano, may be ikitokea amekosea nifanyeje nisikasirike maan nina hasira sana.
Wewe subiria hiyo bikra izeeke. Itakusumbua sana, kuna uwezekano mkubwa igome kutoka. Na hata ikitoka inaweza kutoka na mizizi.
Wenzako wanaitoa ikiwa changa.
we nimegundua unataka kudanganywano, laki sio hela ni jina tu. Sipo tayar kufanya mambos kabla ya ndoa kwani nimejodhatiti kweli na namshukuru mungu nimejitunza mpaka hapa nilipo. Naomba ushauri mwingine tafadhal. Thanks
Mzee POKEA ZAWADI KWA KUNITENGENEZEA SIKU YANGUWewe subiria hiyo bikra izeeke. Itakusumbua sana, kuna uwezekano mkubwa igome kutoka. Na hata ikitoka inaweza kutoka na mizizi.
Wenzako wanaitoa ikiwa changa.
Mruhusu aitoe hiyo bikra. Mapenzi yenu yatakuwa ya Amani.
Mwanamke kabla hujamgonga anasumbua sana.
Mimi ni msichana wa miaka 27, sijawahi kushiriki tendo la ndoa maisha yangu( am a virgin), sasa nimeanza mahusiano ya mapenz na tunapendana sana na mwenzangu. Tatizo sijui nina nini maana mara nyingi tukitofautiana mwisho mimi ndo naonekana nina makosa, naumia sana ninavymkosea kila mara na kwa upendo wake wa dhati ananisamehe, naombeni ushauri wenu nahisi kama kuna uwalakini kwenye haya mahusiano, may be ikitokea amekosea nifanyeje nisikasirike maan nina hasira sana.
Asante madam, hua sipretend nikikasirika, anajua kabisa nimekesirika na anaomba msamaha, ila mimi nashindwa kuwa na moyo wa kusamehe haraka na kusahau, sas hiyo hali inatukosesha amani kila mara, wakati akinikosea siwezi kumwambia hapa umenikwaza nabak nikiumia tu moyoni, hii hali inanitesa sana