Ushauri wenu tafadhali

Unadhani marriage befire sex ndio inafanya ndoa tamu? Ila kama inakupa furaha wewe sawa, ila sio guarantee ya furaha ya ndoa

I didn't mean that, virgin nemsema kwa kuwa sijawahi kuwa na mahusiano yyte, its my first time and my planning is to have a marriage before sex, your advise plz
 
thanks, ukiangalia kwa makini nimejaribu kujibue almost msgs
 
Tatizo lako ni utoto mwingi
Sasa ukikasirika kimya kimya mtu atajuaje?

Mmh, ngoja nisepe tu

 
I didn't mean that, virgin nemsema kwa kuwa sijawahi kuwa na mahusiano yyte, its my first time and my planning is to have a marriage before sex, your advise plz
sasa si ungesema tu hujawahi kua na mahusiano?
Au unatangaza biashara ya machenza hapa?
cc: King'asti
 
Last edited by a moderator:
No, laki sio hela ni jina tu. Sipo tayar kufanya mambos kabla ya ndoa kwani nimejodhatiti kweli na namshukuru Mungu nimejitunza mpaka hapa nilipo. naomba ushauri mwingine tafadhal. thanks

Duuuuuuu karibu unazeeka na bikra yako. Mhhhhhhh
 

Thanks fro ur advise Kongosho, ndo maana naomba ushauri, I know nothing in this sector bse its my first r/ship. Meanwhile I planned to have sex after marriage.
 


Wewe subiria hiyo bikra izeeke. Itakusumbua sana, kuna uwezekano mkubwa igome kutoka. Na hata ikitoka inaweza kutoka na mizizi.

Wenzako wanaitoa ikiwa changa.
 
Ha ha ha ha, hii sayansi ya wapi?

Mizizi ya bikira ikoje hiyo?

Wewe subiria hiyo bikra izeeke. Itakusumbua sana, kuna uwezekano mkubwa igome kutoka. Na hata ikitoka inaweza kutoka na mizizi.

Wenzako wanaitoa ikiwa changa.
 
Mruhusu aitoe hiyo bikra. Mapenzi yenu yatakuwa ya Amani.


Mwanamke kabla hujamgonga anasumbua sana.

mbona unaniogopesha mzee, is it true kwamba inaweza ikaja kugoma kutoka? AU ni utani mzee, plz be serious.
 


Birika mweee, watu wanajivunia kuwa nalo. Ni muda mrefu umepita sijawahi kumwona mwenye nalo. hahahahahaaaaa!
 

Tatizo utoto unakusumbua, ukikua utaacha.
 
Hiyo bikra yako unayoisema ni ile ya kweli kweli au ni hzi znazouzwa madukani?
 
but uchumba tu mnatofautiana mara kwa mara hivyo, mbona mimi napata maswali mengi saaaaaaaaaaaaaaaaaaaana!na kwenye ndoa utafanyaje? ila mimi najua kuwa hasira ni curable problem, na mara zote hasira, ni hasara kwa unayekasirika, siyo unayemkasirikia, Think of changing!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…