Ushauri wenu tafadhali

Bikra inahusika vipi na ugomvi wenu,ama unataka kutuambia watu wazima na akili zetu kuwa bikra humfanya mtu kuloose temper hahahaha kaombewe tu utakuwa na shida zako binafsi
 
No, laki sio hela ni jina tu. Sipo tayar kufanya mambos kabla ya ndoa kwani nimejodhatiti kweli na namshukuru Mungu nimejitunza mpaka hapa nilipo. naomba ushauri mwingine tafadhal. thanks

Muombe sana mungu maana kama atakuheshimu atakuacha kimya kimya vinginevyo atakuchan live. They test the kick before taking off! Kama utafanikiwa kuolewa bila kuliwa kwanza ntafute nkupe zawad, zaid ya hayo, Mwnyez Mungu akutangulie.
 
jitu zima hovyo kabisa. kaa na hilo libikira lako uone utafaidika na nini? mtu amejitolea kukupenda alf ww unamnyima papuch , basi ww endelelea na uzezeta wako wa kukaa na hiyo bikra yako km ngao ya taifa according to kongosho, nilimuacha mtu kisa ni km hiyo situation yako nikampata wandani wng used na sasa tumejaliwa watoto wetu wawili maisha yanasonga. yy yupo amepigika na life na aliyemuwekea hile bikra yake, yaan umenikumbusha hasira nilizozisahau muda mrefu. mxhiiiiiiiiuuuuuuuu
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom