AlphaMale_
Senior Member
- Aug 12, 2023
- 187
- 429
Mambo vipi?
Nipende kwenda moja kwa moja kwenye jambo langu Mimi ni kijana nina 26 years old bado sijajipata nina shida moja.
Mzazi(mama) anapenda sana kusisitiza kuhusu kuoa kwamba wakati ni huu na anapenda kusindikiza na mifano kwamba vijana wengi wa umri wangu wana Familia kwann mm bado.
kuna muda inakua mpaka kero kwangu na huwa naumia sana kwasababu sio kwamba sipend kuoa ila ni kwamba bado napambana hivi Mpaka ana nifokea kuna binti nilimuahid kumuoa na akawa na mawasiliano na dada zangu sasa nika badiri maamuzi.
Niliona mahusiano yananichelewesha sana kukua kiuchum kama mnavo jua kuendesha mahusiano ni gharama ya muda na pesa pia hisia na mm ni mtu wa safari sana Nimeamua kua single lkn hio inanifanya nisiwe na mawasiliano mazuri na mama ang
Jamani ushauri wenu wana jamvi.
Nipende kwenda moja kwa moja kwenye jambo langu Mimi ni kijana nina 26 years old bado sijajipata nina shida moja.
Mzazi(mama) anapenda sana kusisitiza kuhusu kuoa kwamba wakati ni huu na anapenda kusindikiza na mifano kwamba vijana wengi wa umri wangu wana Familia kwann mm bado.
kuna muda inakua mpaka kero kwangu na huwa naumia sana kwasababu sio kwamba sipend kuoa ila ni kwamba bado napambana hivi Mpaka ana nifokea kuna binti nilimuahid kumuoa na akawa na mawasiliano na dada zangu sasa nika badiri maamuzi.
Niliona mahusiano yananichelewesha sana kukua kiuchum kama mnavo jua kuendesha mahusiano ni gharama ya muda na pesa pia hisia na mm ni mtu wa safari sana Nimeamua kua single lkn hio inanifanya nisiwe na mawasiliano mazuri na mama ang
Jamani ushauri wenu wana jamvi.