Ushauri wenu, pombe itaniua kijana mdogo

Ushauri wenu, pombe itaniua kijana mdogo

Kinachokufanya utumie pesa nyingi ni vile unataka u maintain status yako ulivyozoeleka, chakufanya badili sehemu ya starehe ulipozoea kwenda. Nenda eneo jipya na acha kununulia pombe watu kwa kutaka wawe washikaji, utajikuta 30,000/= haiishi
 
Hakuna msaada wowote unaohitaji.

Kimsingi unaishi maisha uliyoyachagua. Siku ukiamua utaacha. Kwa sasa endelea kula gambe!
Unamaanisha "Kupanga ni kuchagua"

Nahisi mtoa mada ana company mbaya na isiyothamini maendeleo yake hapa tatizo sio pombe.
 
Pombe ya laki na nusu mara miaka miwili ni shilingi za kitanzania 108,000,000.

Inakuaje wewe unasema unatumia 2.5 M kwa mwezi, wakati kila siku kwa maelezo yako 150,000. Inakutoka kwa ajili ya pombe ndani ya miaka miwili? Piga mahesabu vizuri jamaa.

Vile vile kama kweli unataka kuacha ulevi, ni wewe binafsi kuamua kutoka ndani kwamba wataka kubadilika, vinginevyo utaenda kwa waaguzi wa kila aina , na hakutakuwa na mabadiliko.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pombe ya laki na nusu mara miaka miwili ni shilingi za kitanzania 108,000,000.

Inakuaje wewe unasema unatumia 2.5 M kwa mwezi, wakati kila siku kwa maelezo yako 150,000. Inakutoka kwa ajili ya pombe ndani ya miaka miwili? Piga mahesabu vizuri jamaa.

Vile vile kama kweli unataka kuacha ulevi, ni wewe binafsi kuamua kutoka ndani kwamba wataka kubadilika, vinginevyo utaenda kwa waaguzi wa kila aina , na hakutakuwa na mabadiliko.



Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu katika maisha yangu sujawahi kwenda mganga ila nitajaribu maisha ni kuhangaika
 
Najua ni ngumu kuacha kwa mara moja,nachokushauru anza kupunguza kiwango kwa kununua kiasi kadhaa ambazo utanywea nyumbani sio hapohapo bar kupitia ii itakusaidia kuepuka kampani yako kama ipo pia itakuepusha kunywa sana kuliko kawaida.Punguza kiasi kadri siku zinavozid kwenda .II iambatane na ushauri wa wadau wengine kama kwenda kwa mwanasaikolojia.PIA UWE NA DISCIPLINE
 
Nimeptia hayo maisha ya kutumikishw hadi nikapoteza gari langu na kuwa mtu wa kudharaulik,
Achan na hizo story za mtalaam wa saikolojia,
Mara kwend kuimba mapambio,
Njoo inbox harak,
Pole sana
 
Habarini humu wakuu

Nambeni ushauli kwa mazingira ninayopitia mdogo wenu wakuu

[emoji115] Mimi nikijana mdogo kabisa miaka 22 tangu nilipomaliza sec. nilianza kujitafutia maisha mwenyew namshukuru mungu alinibariki sana nikawa nipo vizur kwenye maisha kiuchumi, kufika mpaka miaka nikawa namiliki pikipik nyingi tu nikafanikiwa kununua kiwanja, mwaka jana nikannua nagari usafiri wangu.

Hapo niliponunua gari ndipo maisha yakaanza kuchange mimi nikawa mtu wa kulewa muda wote sio usiku sio mchana wala asubuhi, nikienda bar kama nina laki namaliza yote, uchimi wangu kwasasa unaenda kupotea kila ck lazima ninywe kila ck napoteza zaidi ya laki nanusu bar, ni mwaka sasa umepita kwa mwezi napoteza zaidi mil. 2 nazaidi kwenye pombe

Naombeni ushauli ndugu zangu, usiku nikilala bila kunywa silali hayo mateso ninayopata, mandoto ya ajabu kukabwa usiku pia nikinywa usiku nikishtuka pombe zimeisha huwa najilaumu sana kwann nafanya mambo hayo Hadi nahisi kujiuwa, lakini nikiamka tuh asubuhi kila kitu nimesahau naamkia kwenye mipombe.

Naombeni mawazo yenu wakubwa zangu, nimeyachoka haya maisha
Kila siku unapoteza zaidi ya laki na nusu kwa pombe? Punguza chai kidogo.... Pombe ya laki na nusu kila siku ni pombe gani hiyo unakunywa?

Labda uniambie kuna kingine....

Tafadhali acha kukisingizia mabaya kinywaji pendwa
 
Kila siku unapoteza zaidi ya laki na nusu kwa pombe? Punguza chai kidogo.... Pombe ya laki na nusu kila siku ni pombe gani hiyo unakunywa?

Labda uniambie kuna kingine....

Tafadhali acha kukisingizia mabaya kinywaji pendwa
Sawa
 
Yawezekana katika pesa zako kuna mkono wa kishirikina.
Pesa za wizi au ushirikina huishia kwenye ulevi na uzinzi.
 
Habarini humu wakuu

Nambeni ushauli kwa mazingira ninayopitia mdogo wenu wakuu

[emoji115] Mimi nikijana mdogo kabisa miaka 22 tangu nilipomaliza sec. nilianza kujitafutia maisha mwenyew namshukuru mungu alinibariki sana nikawa nipo vizur kwenye maisha kiuchumi, kufika mpaka miaka nikawa namiliki pikipik nyingi tu nikafanikiwa kununua kiwanja, mwaka jana nikannua nagari usafiri wangu.

Hapo niliponunua gari ndipo maisha yakaanza kuchange mimi nikawa mtu wa kulewa muda wote sio usiku sio mchana wala asubuhi, nikienda bar kama nina laki namaliza yote, uchimi wangu kwasasa unaenda kupotea kila ck lazima ninywe kila ck napoteza zaidi ya laki nanusu bar, ni mwaka sasa umepita kwa mwezi napoteza zaidi mil. 2 nazaidi kwenye pombe

Naombeni ushauli ndugu zangu, usiku nikilala bila kunywa silali hayo mateso ninayopata, mandoto ya ajabu kukabwa usiku pia nikinywa usiku nikishtuka pombe zimeisha huwa najilaumu sana kwann nafanya mambo hayo Hadi nahisi kujiuwa, lakini nikiamka tuh asubuhi kila kitu nimesahau naamkia kwenye mipombe.

Naombeni mawazo yenu wakubwa zangu, nimeyachoka haya maisha
Kama KWELI UMECHOKA basi pumzika na ACHA ulevi uliojianzishia ww mwenyewe kwa HIARI yako. Ni Hiari yako pia kuendelea kunywa pombe ili UFE Haraka na pia ni Hiari yako kuacha ulevi wa pombe ili UISHI. Chagua mwenyewe kama ulivyochagua mwanzoni. Fedha yako = Fedheha yako usipokuwa makini. Laiti Ungekuwa mdogo wangu leo mwaka mpya (01.01.2022) ungekula mboko za kukutosha 😅. Umelianzisha mwenyewe halafu unarudi kutusumbua hapa Jf. Mbona ulipokuwa unatesa hukutushirikisha? Sasa umeona nini kinakuja halafu unatulilia tukupe Ushauri?. Kwa Maoni na Ushauri wangu: 1.Kwa kuzingatia kwamba Umeshafanya uamuzi wa kujiua(Kwa ulevi wako.) kwa hiyo Fanya Haraka/Fasta aisee kuhitimisha hilo.
2. Fanya U-turn haraka sana. Jipe shughuli mbadala za kufanya - Achana na hayo magenge ya "vijana-mapepo" wanaokufanya unywe pombe ya laki moja kwa siku.Unafanya kufuru mbele za Mwumba wako. Hebu fikiria Wapo watu wenzio hata ya kununulia dagaa/kauzu hawana wakati ww unazo za ...... Ukweli ki-ukweli ni kwamba ww binafsi huwezi kunywa pombe ya laki moja kwa siku. Hao WASHIRIKA wako ni ADUI ZAKO # 1. Pesa itakapokata hutowaona tena.
3. Chambua kati ya maoni uliyopewa hapo juu na Uanze kutekeleza. Kumbuka Hatma ya maisha yako imo mikononi mwako. Ukifa Utazikwa tu Bwanamdogo usiogope - Kupanga ni kuchagua
Pole kama nimekuumiza/Nimekukwaza.
 
Kama KWELI UMECHOKA basi pumzika na ACHA ulevi uliojianzishia ww mwenyewe kwa HIARI yako. Ni Hiari yako pia kuendelea kunywa pombe ili UFE Haraka na pia ni Hiari yako kuacha ulevi wa pombe ili UISHI. Chagua mwenyewe kama ulivyochagua mwanzoni. Fedha yako = Fedheha yako usipokuwa makini. Laiti Ungekuwa mdogo wangu leo mwaka mpya (01.01.2022) ungekula mboko za kukutosha [emoji28]. Umelianzisha mwenyewe halafu unarudi kutusumbua hapa Jf. Mbona ulipokuwa unatesa hukutushirikisha? Sasa umeona nini kinakuja halafu unatulilia tukupe Ushauri?. Kwa Maoni na Ushauri wangu: 1.Kwa kuzingatia kwamba Umeshafanya uamuzi wa kujiua(Kwa ulevi wako.) kwa hiyo Fanya Haraka/Fasta aisee kuhitimisha hilo.
2. Fanya U-turn haraka sana. Jipe shughuli mbadala za kufanya - Achana na hayo magenge ya "vijana-mapepo" wanaokufanya unywe pombe ya laki moja kwa siku.Unafanya kufuru mbele za Mwumba wako. Hebu fikiria Wapo watu wenzio hata ya kununulia dagaa/kauzu hawana wakati ww unazo za ...... Ukweli ki-ukweli ni kwamba ww binafsi huwezi kunywa pombe ya laki moja kwa siku. Hao WASHIRIKA wako ni ADUI ZAKO # 1. Pesa itakapokata hutowaona tena.
3. Chambua kati ya maoni uliyopewa hapo juu na Uanze kutekeleza. Kumbuka Hatma ya maisha yako imo mikononi mwako. Ukifa Utazikwa tu Bwanamdogo usiogope - Kupanga ni kuchagua
Pole kama nimekuumiza/Nimekukwaza.
Asante sana mkubwa nimekuelewa
 
Habarini humu wakuu

Nambeni ushauli kwa mazingira ninayopitia mdogo wenu wakuu

[emoji115] Mimi nikijana mdogo kabisa miaka 22 tangu nilipomaliza sec. nilianza kujitafutia maisha mwenyew namshukuru mungu alinibariki sana nikawa nipo vizur kwenye maisha kiuchumi, kufika mpaka miaka nikawa namiliki pikipik nyingi tu nikafanikiwa kununua kiwanja, mwaka jana nikannua nagari usafiri wangu.

Hapo niliponunua gari ndipo maisha yakaanza kuchange mimi nikawa mtu wa kulewa muda wote sio usiku sio mchana wala asubuhi, nikienda bar kama nina laki namaliza yote, uchimi wangu kwasasa unaenda kupotea kila ck lazima ninywe kila ck napoteza zaidi ya laki nanusu bar, ni mwaka sasa umepita kwa mwezi napoteza zaidi mil. 2 nazaidi kwenye pombe

Naombeni ushauli ndugu zangu, usiku nikilala bila kunywa silali hayo mateso ninayopata, mandoto ya ajabu kukabwa usiku pia nikinywa usiku nikishtuka pombe zimeisha huwa najilaumu sana kwann nafanya mambo hayo Hadi nahisi kujiuwa, lakini nikiamka tuh asubuhi kila kitu nimesahau naamkia kwenye mipombe.

Naombeni mawazo yenu wakubwa zangu, nimeyachoka haya maisha
Njoo inbox(Pm).Hakuna lisilowezekena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom