Ushauri wenu, pombe itaniua kijana mdogo

Ushauri wenu, pombe itaniua kijana mdogo

Pole, unaishi wapi? Kama unaweza hama wilaya/mkoa kaanze maisha sehemu nyingine/Mpya.

Huko utafute mtu mmoja tu wakukusaidia katika biashara mfano kukutafutia vijana wa kuwaajiri katika bodaboda zako, Mtu huyu mtafutie kanisani/msikitini. Sio akusaidie biashara bali awe mwenyeji wako.

Anza maisha mapya, focus, tafuta mahusiano na mwanamke (hili lichukue muda kidogo na usihangaike na madada wa mjini), nikisema mjini simaanishi ukatafute kijijini namaanisha kuachana na wanawake wenye umjini mwingi upate mtu ambaye ni family oriented, Kila la heri na kwa hakika nitakuweka kwa maombi.
 
Pole, unaishi wapi? Kama unaweza hama wilaya/mkoa kaanze maisha sehemu nyingine/Mpya.

Huko utafute mtu mmoja tu wakukusaidia katika biashara mfano kukutafutia vijana wa kuwaajiri katika bodaboda zako, Mtu huyu mtafutie kanisani/msikitini. Sio akusaidie biashara bali awe mwenyeji wako.

Anza maisha mapya, focus, tafuta mahusiano na mwanamke (hili lichukue muda kidogo na usihangaike na madada wa mjini), nikisema mjini simaanishi ukatafute kijijini namaanisha kuachana na wanawake wenye umjini mwingi upate mtu ambaye ni family oriented, Kila la heri na kwa hakika nitakuweka kwa maombi.
Asante sana
 
Mmh siwezi kukushauri uache maana mI siwezi kuacha ila napumzikaga tu, pia kuna kulogewa pombe kuwa makin mjomba angu R.I.P alilogezewa humu ktk pombe alikuw anakunywa pombe si kawaida, kreti la castle lite analifuta na bado yupo mkavu
tulimzika alizidiwa na konyagi ndan kwake
 
Mkuu usije ukaacha utatuacha wapweke!! Na Kama ukiacha tafadhali sana usitoe siri za kambi huko ulokoleni unapotaka kuamishiwa. NB Life is too short baba, ishi maisha yako.
 
Mmmh huu mwandiko mbona kama mtu ambae hana hata senti[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Umesema kila siku lazima upoteze zaidi ya laki na nusu na umesema unakunywa kila siku iwe mchana au usiku. That means kwa mwenzi unatakiwa unywe si chini ya 4.5M ila umesema unakunywa zaidi ya 2.5M. Hapo umefanya overestimation kidogo ila kwa mwendo huu na umri wako kama unakunywa hivi hutoboi hata 25.

Unataka msaada gani wa kuacha au kupunguza. Mimi nilijaribu kunywa bia last week ikanishinda hata nusu sikufika. Mara ya mwisho kunywa nilikuwa form 3 mpaka hiyo juzi nilipojaribu kumbe pombe nimezisahau.

Kwanza achana na kampani yako ya pombe. Mwaka 2022 cut them off bakiza mahusiano ya kutafuta pesa.
Hahaha abadili starehe
 
Habarini humu wakuu

Nambeni ushauli kwa mazingira ninayopitia mdogo wenu wakuu

[emoji115] Mimi nikijana mdogo kabisa miaka 22 tangu nilipomaliza sec. nilianza kujitafutia maisha mwenyew namshukuru mungu alinibariki sana nikawa nipo vizur kwenye maisha kiuchumi, kufika mpaka miaka nikawa namiliki pikipik nyingi tu nikafanikiwa kununua kiwanja, mwaka jana nikannua nagari usafiri wangu.

Hapo niliponunua gari ndipo maisha yakaanza kuchange mimi nikawa mtu wa kulewa muda wote sio usiku sio mchana wala asubuhi, nikienda bar kama nina laki namaliza yote, uchimi wangu kwasasa unaenda kupotea kila ck lazima ninywe kila ck napoteza zaidi ya laki nanusu bar, ni mwaka sasa umepita kwa mwezi napoteza zaidi mil. 2 nazaidi kwenye pombe

Naombeni ushauli ndugu zangu, usiku nikilala bila kunywa silali hayo mateso ninayopata, mandoto ya ajabu kukabwa usiku pia nikinywa usiku nikishtuka pombe zimeisha huwa najilaumu sana kwann nafanya mambo hayo Hadi nahisi kujiuwa, lakini nikiamka tuh asubuhi kila kitu nimesahau naamkia kwenye mipombe.

Naombeni mawazo yenu wakubwa zangu, nimeyachoka haya maisha
Kuna mama mmoja yeye mumewe alikuwa anakunywa mataputapu.. Yaani ile ya kupindukia.. Watu wakamshauri jambo huyo mama. Akamuwekea mumewe vitoto vya panya kwenye kile chombo cha kunywea..!!! Ile anafika mwisho mwishoni jamaa akakutana na vitoto vya panya vimekufa havina hata manyoya.. Bado vyekundu.. MWANA ALITAPIKA KUPINDUKIA NA NDO UKAWA MWISHO WAKE KUNYWA POMBE
 
Hizo pombe za laki kwa siku mnakunywaje jamani?

Mbona me nikienda sehemu nakunywa 3-4 naondoka
Pombe za laki ni zile za Mupe Muruke😅 mkikaa kilinge cha mtu 4 au 5 lazma uzungushe round!

Round moja ya heineken mtu 5 unatumia 15K, ukilipa bia mbili mbili kila round unakata 30K.
Ukilipia round 3 za bia mbili mbili tu tayari ni 90K!

Ukinywa bia kichoyo huwezi kunywa bia za elfu 90 pekeako ukazimaliza labda uanze kulewa toka asubuhi mpaka usiku ukeshe tena😅
 
Nilishawahi kuwaga mlevi nalewa kila siku nikipata pesa yote namalizia kwenye mitungi kula sili nikashiba nikaona ntakufa Sasa!
Nikajikatia shauri Kama kuacha siwezi Ni heri nipunguze,nikawa nakunywa Mara moja kwa wiki Tena nanunua nakuja nazo geto afya ikarudi naamini huko nakoelekea naenda kuacha kwa msaada wangu mwenyewe bila wanasaikolojia,wachungaji,waganga nk
Naamini naweza
 
Hizo pombe za laki kwa siku mnakunywaje jamani?

Mbona me nikienda sehemu nakunywa 3-4 naondoka
Kwa 1500/- huwezi fikisha kiasi hicho cha pesa na huku ukiwa peke yako.. Huyu labda zile za akina Absolute VODKA, ABSOLUTE KURANT na hapo anahudumia na marafiki na michepuko yao..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom